mamaWILLE
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 151
- 39
Waziri wa ujenzi mh magufuri leo saa tano ameanda mkutano akishirikiana na mkuu wa wilaya ya igunga FATUMA KIMARIO utakao fanyika hapa viwanja vya Sokoine . Ajenda ni kusu kumtambusha mkandarasi hapa igunga ili ajenge daraja la mbutu ambalo bwana Rostam Aziz alishìndwa kulijenga kwa miaka 18 aliyotawala. Mkutano umekuwa wa ghafla sana. Fatuma Kimario nae anataka ajisaishe kwa yale yaliyotokea wakati wa uchaguzi mdogo akidai alibakwa japo haikuingia.wananchi wa igunga bado wana hasira za kuchakachuliwa wa mgombea wao wa chadema mwalim Kashìndye. Yatakayo tokea nitawajuza.