Yupo India[/QUOTE]
Anatafuta nini huko mahali??????????????????
Baradhuli mkubwa ww ,shwaini kbsa,unasema anaumwa vyanzo vimekwambia.nyambaf..tcra uyu mtu ashughulikiwe.leo hii alikua ofisi za uenezi kariakoo na tumeona eatv
mkuu jana alitakiwa awe mwembeyanga na matangazo yakutosha ila hakufanya mkutano
tupo nae hapa lumumba,ulikua unasemaje kwani?
Endeleeni kujipa matumaini kama ya el wanaukawa. Kesho Tingatinga ndani ya Lindi. Mnazani ni huyo zezeta asojua anamnadi nani mpaka linakosea kila siku kwa kukosa kumbukumbu.
Pacemaker imefyatuka. Chezea pushups wewe!
Jana alikua Chalinze na bagamoyo. Leo Mapumziko kesho utamsikia Zazibar.
Hadi jana, tarehe 10.10.2015, Dkt. Magufuli alikuwa amekwishatembelea Mikoa 22 na Majimbo 203. Amekwishafanya mikutano mikubwa rasmi 240 na mikutano 865 ya kusimamishwa na wananchi njiani, hasa wananchi wa vijijini.
Picha hizi ni mikutano ya jana na juzi
View attachment 297655View attachment 297656
Mpenda sifa apange mkakati kwa siri!?Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Jidu ungeanza kuuliza babu duni kapotelea wapi.wiki ya tatu hii haonekani
Kuna mambo ya kimkakati yalikuwa yanakamilishwa. Katikati ya wiki ijayo atakuwa Zanzibar kufunga kazi. Pia akina Ben Mkapa na Kikwete wanaanza ziara za kuzunguka nchi nzima kumnadi Tingatinga
Baada ya kazi ni lazima apumzike
Baradhuli mkubwa ww ,shwaini kbsa,unasema anaumwa vyanzo vimekwambia.nyambaf..tcra uyu mtu ashughulikiwe.leo hii alikua ofisi za uenezi kariakoo na tumeona eatv