POOR YOUpoor speech
Sioni akiisadia hii nchi
Kushusha mishahara ya maDG wlaiojitoa kwenye mashirika makubwa na kuifanyia nchi kazi, hapo ni kuwatoa kwenye point
Kuwaambia haya mashirika ya mifuko ya jamii kutojenga majengo na kuwekeza kwenye viwanda anaua mifuko bila kujua
Kushusha paye bila kuwaongezea mishahara au kuset kima cha chini ni kosa
Me nimeshangazwa na izo asilia za punguzo la kodi.nijuavyo kuna adi wanaokatw 30% ya mshahara kama kodi.ivi hawa nao kawagusa kweli???Hajasema mengine mpaka sasa au kashikwa na kitete?
Hivi hewa ni nini?
Ndo namshangaa!Anazungumzia habari za kuajiriwa wakati ni muajiriwa wa Serikali
Kweli kabisa.Data never lie
Nataka kujua hiyo punguzo la 2% ni kihasi gani? Mwaka Jana walipopunguza kwa 1% mshahara wangu ulipanda kwa Tsh 2000.