Labda mashindano ya kuvunja tofari vifuani.
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."kwani hata ukichukua timu ya jeshi kama inalala njaa, haina benchi zuri la ufundi, haina pesa itafanya nini?!?, mpira wa leo sio kama aliocheza akiha hussein ngulungu, Sunday manara,Juma pondamali,Mo Kajole na wengine wengi,soka la leo its all about money. acha kuwalipa wanajeshi maslahi yao miezi kadhaa mfululizo uone!
Mzee aliona mbali
Wanahitaji extra drillMzee aliona mbali
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
Mzee aliona mbali
Mzee wa actions! Chuma, jiwe, bulldozer!Mzee huyu