mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Wakati serikali inawavunjia wananchi wanyonge nyumba zao, viongozi wanakaa kwenye nyumba walizokuwa hawa deserve kukaa. Na ni mtu ambaye alikuwa anakiongoza chombo cha kutunga sheria. Tunategemea haki gani itendeke kutoka kwa mtu kama huyu? Uroho huu wa kujilumbikizia mali na huduma zisizo halali kweli zina kikomo?
Mkuu linapokuja swala la kuwavunjia/kuwaondoa walala hoi hakuna mjadara ila kwa makada wa chama inaku ni mchakato mreefu.mzee sita ni kauzu sana wasipo mtoa kwa nguvu hataondoka hapo milele