muislamsafi
Member
- Jan 25, 2012
- 78
- 20
RIP
not original aka fake
not original aka fake
ww flr ccm nini kakufanyiya nini ! ??.
Mimi pia nilipata shida kumtambua kama ni Magufuli kwelihttp://www.mwananchi.co.tz/images/stories/mako-omba-kura.jpg
Ukiangalia picha ambayo Makongoro kampigia Magufuri unawezi kuona kuwa Magufuli ana matatizo ya kiafya, hebu icheki hiyo picha
Duh nini tena kwa silaha ya mwisho ya CCM? Kamanda augue haraka apone haraka na ikiwezekana leo hii hii ili arudi kujenga nchi. Mungu mjaalie afya njema John Joseph Pombe Magufuli (PhD), (MB), Waziri wa Ujenzi.
unamaanisha kuwa na yeye ugonjwa umempigisha mbizi kama alivyowataka wakazi wa kigamboni wafanye, eti?
anaumwa na nini?
http://www.mwananchi.co.tz/images/stories/mako-omba-kura.jpg
Ukiangalia picha ambayo Makongoro kampigia Magufuri unawezi kuona kuwa Magufuli ana matatizo ya kiafya, hebu icheki hiyo picha