Kama wewe ni mwajiri unaweza kumpatia ajira mtu mgonjwa kweli tena ambaye unamwona? Sio ushabiki tangulizeni maslahi mapana ya Taifa.
Lowasa na Vunjo hali ni mbaya sana,zomeazomea hadi inatia huruma.
Alivyotuonyesha makalio ametuweka majaribuni haswa!
Alivyotuonyesha makalio ametuweka majaribuni haswa!
Kazomewa mbeya na mazoezi yake.Tanzania tukisema tuchague mabondia matumla angeshakuwa Rais.
swissme
Atapambana na bondia gani na uzito upi?
Kama unataka mtu wa kuinua vyuma au kubeba lumbesa au baunsa kiukweli hautampa kazi ila kama unataka atumie akili why not?kwani wewe kazini kwako ulipimwa afya kwanza?mbona unaumwa na kazi unafanya?
Lowasa na Vunjo hali ni mbaya sana,zomeazomea hadi inatia huruma.
Jana nikamwona anarukaruka jukwaani kama mtu anayetaka kupigana ndondi, ccm kweli wameishiwa
Nimekuwa nikifuatilia tangu DK MAGUFULI mgombea urais kwa tiketi ya CCM apige push up kuonyesha uimara wa afya yake. Wanaompigia kampeni sehemu mbalimbali nchini nao wanaiga staili hiyo
Imekuwa kama Sera yao, mikutano mingi ya dk pjm anafanya mazoezi jukwaani kama kurukaruka, kucheza mziki, kupiga push up, kuliko kujikita kwenye kutangaza Sera. Na wasanii kibao wanaiga mwenendo huo