MIMI na dhani Lowassa ndio katufukisha hapa, bila yeye tungekua matajiri, Angalia Lowassa ndio huyo huyo kwney Escrow, Huyo Huyo kwnye IPtl, huyo huyo katuficha mikataba ya gesi, Lowassa huyo huo katuachia nchi ikiwa taabani ,Lowasa huyu huyu kaaweka wau wale wamitafuna nchi vilivyo , CCM wamejitahidi sana kakweli , ila Nguvu ya Lowasa ni kubw aalikau ana wazuia CCM wana shindwa kutumbua majipu mimi na dhani Ukawa hawajielewi mana Lowasa ndio pekee jipu .HIi nchi Bila Lowasa tungekua tunaishi kwa mziwa na asali .Binafsi UKAWA damu ila mpaka hapa alipo Mh Rais Maghufuli nakubaliananae, ikiwa mwendo ni huu basi kuna siku tutapata wote keki ya mama Tanzania.