Magufuli didn’t ban all forms of politics...

.
I have replayed it and it shows that the President banned electoral politics in a post-election season. The police actions are may.
Tazama hapa, anakubali kuwa Rais ame 'ban' mikutano.

Halafu anasema umma na media zaikumwelewa !!! Hivi ku ban mikutano si ndicho media imeandika?

Atueleza, ni sheria gani ya nchi inayosema hakuna politics post election season na ilitumika wapi.
 
. But note this: the political parties act says that electroral politics shall be engaged in within a specific time frame as defined by NEC--Ratibu ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu. So there is nothing new in the words of the President when he says, "electoral politics are over." Umeonae?
Hapa ndipo ndugu yetu anapodanganya na kupotosha umma. Hoja yake inakosa mashiko na ni ya uongo kwa sababu zifuatazo

1. Nimepitia Political parties act, hakuna kipengele kinachosema siasa za uchaguzi ni za muda maalumu.

Mleta mada anachanganya Political parties act na sheria za tume ya uchaguzi.

Ratiba ya uchaguzi hai define political process katika nchi.

Ratiba ya uchaguzi ina eleza hatua za uchaguzi katika msimu uliotajwa kikatiba.

Kwamba, kutakuwa na uchaguzi kila baada ya miaka 5.
Tume ya uchaguzi inatoa ratiba hiyo kama ambavyo sheria imeiwezesha.

Shuguli za kisiasa kwa mujibu wa ''Political parties act'' inatoa fursa za kufanya siasa bila muda kwa kifungu Sehemu ya Pili 4-(1) inayoeleza ushiriki wa vyama na haki za mikutano n.k.

Hakuna mahali popote pale sheria ya vyama vya siasa au tume ya usajili imeeleza mwisho wa msimu wa siasa, narudia msimu wa siasa.

NEC walikabidhi ripoti ya kukamilisha uchaguzi si kumaliza msimu wa siasa.

Hivyo kazi ya NEC ni kuratibu chaguzi si kumaliza muda wa siasa nchini.

Kazi ya msajili wa vyama kwa mujibu wa sheria ni kusimamia shughuli za vyama vya kisiasa vlivyoandikishwa bila kuweka msimu,

Huyu ndugu haoni jambo jipya alilosema Rais, pengine tumkumbushe kifungu 18 cha katiba ya JMT na sehemu ya pili na ya tatu ya sheria ya vyama vya siasa nchini zinavyoeleza.

Atueleze Rais alitumia utaratibu gani kupiga marufuku juu ya sheria zilizopo?

Deus hatengenisha shughuli za msajili na NEC anawezaje kutueleza mambo ya siasa?

Siasa ni shughuli endelevu katika jamii ndiyo maana imewekewa act.

Uchaguzi ni shughuli inayokamilisha sehemu ya shughuli za kila siku za siasa inasheria zake
 
Thermos ikipasuka yai lake huwa haina kazi
Nafasi za ukuu wa wilaya ni kama thermos iliyopasuka yai lake ni nafasi ya isiyokuwa na kazi(vaccum).Hali hii hupelekea wakuu wa wilaya kudandia treni kwa mbele na kufanya vituko vya ajabu,rejea mkuu wa wilaya ya Iringa,na aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Moshi vijijini.
Kimsingi ofisi ya mkuu wa wilaya haiwezi kutatua tatizo lolote hata ikitokea bahati mbaya mwananchi akafikisha kero yake,Dc atalazimika kuipeleka Halimashauri maana ndio mamlaka halali,kisheria na kiutaratibu.DC ana vikao viwili vya kisheria yaani kikao cha ulinzi na usalama cha wilaya,na DCC yaani kamati ya ushauri ya wilaya.Vikao vyote viwili sio vya maamuzi bali mashauriano.
Halimashauri ndio mamlaka halali yenye vikao vya maamuzi,na maamuzi yake yanaweza kuhojiwa mahakamani,halimashauri inaweza kushtakiwa/kushtaki etc,halimashauri ina bajeti na ina uwezo wa kukusanya mapato yake,ikiwa ni pamoja na kujitungia sheria ndogo ndogo.

DC mpya wa Arusha mjini ameanza vibaya,hajui wajibu wake,na kimsingi anafanya kazi ya UKADA(inajulikana kuwa ni mjumbe wa kamati ya siasa ya ccm wilaya).Tangu amekuja Arusha amefanya matukio mawili ambayo yana ukakasi wa hali ya juu
#MOSI# alienda soko la Kilombero na kujifanya ameenda kutafuta kero za soko na baada ziara yake hiyo aliandika kwenye FB wall yake kuwa eti amekuta kero ya maji,na tatizo mikataba
#Usahihi
Kilombero hakuna tatizo la mikataba,jiji la Arusha chini ya CHADEMA imekuwa halimashauri pekee nchini ambako wamama na vijana kwenye masoko yetu wamepewa mikataba ya upangaji,na kodi wanalipa au benk au kwa njia ya electronic,yaani hata mtu mwenye kizimba/meza na mtaji wa 20,000 au hata asiyekuwa na mtaji ana mkataba ambao anaweza kuutumia kwenye taasisi za fedha ili kuongeza mtaji.
Kuhusu maji Halimashauri imelipia maji na hata kwenye vitengo nyeti kama nyama na samaki halimashauri imeweka sink za kisasa ili kudumisha afya za walaji
#PILI# Jana ameend kata ya Muriet na ameandika tena FB wall yake kuwa eti ameagiza Tanesco wamalize tatizo la umeme hadi kufikia Septemba
#Usahihi
Swala la umeme katika maeneo haya limeshafanyiwa kazi na Diwani wa kata ya Muriet pamoja na Meya wa Jiji tangu Januari na kazi hiyo ya kuweka umeme imeshaanza na tayari Tanesco wapo site wakianza na kata ya Sokoni 1.Leo dc kusema eti yeye ndio ameagiza ni wazi kuwa ni upotoshaji wa hali ya juu kwa malengo mabaya
#Hitimisho
Arusha ni ukanda huru ni mji wa watu wanaojitambua,na CHADEMA ndio Chama tawala hapa.
We have God we have the power
 
Magufuli didn’t ban all forms of politics

On 23 June 2016, President Magufuli of Tanzania discouraged direct political discourses which prevailed during the general elections as political contestants from various political parties were competing for key offices.

In the alternative, he encouraged indirect political discourses through the parliament, district councils and ward development councils, where the elected politicians can compete through formal arguments, both written and oral. He said nothing about direct democracy at the Local Government Authority level. (Check the video:
Video)

The next morning, it was too obvious that the most active segment of the civil society--the media-- either misunderstood the logic of the President’s statement or deliberately engaged in self-misdirection for ulterior motives.

For example, Mtanzania daily newspaper reported, “Mafufuli: Hakuna siasa mpaka 2020,” literally meaning, “Magufuli says no politics until 2020.” All other media houses fell into the same unethical trap of public disinformation through the fallacy of equivocation.

In the same spirit of equivocative communication, Zitto Katwe, the ACT-Wazalendo Supreme leader slammed the President for declaring a war on multiparty democracy by allegedly banning all forms of political discourse. Professor Kitila Mkumbo too, through his recent article in Raia Mwema newspaper, has accused the President of virtually banning all forms of political discourse until 2020.

As a result of this widespread misrepresentation of the Presidents statements, the general public has ultimately been made to believe the same—that, the President has banned all forms of political discourse until 2020.

Due to this disinformation through the Tanzania’s media, Chadema’s youth wing (BAVICHA) and CCM’s youth wings (UVCCM) are now in a fierce linguistic war as to whether the forthcoming CCM’s national convention is violative of the president’s directive or not. BAVICHA believes holding the convention will violate the president’s directive, while UVCCM thinks not. I think UVCCM is right and BAVICHA is wrong. Let me explain.

When the president said that “electoral politics are over” he rightly banned direct political discourses at a national level. He did not ban indirect political discourses both at a national and sub-national levels. National conventions and other indoor meetings in accordance with the constitutions of political parties are not direct political discourses. Thus they were not banned by the president.

It is my hope that, this line of reasoning will most probably stand out clearly if we look at the definition of the word “politics.”

MY DEFINITION OF POLITICS

According to the Chinese Communist leader Mao Tse-tung, “Politics is war without bloodshed, while war is politics with bloodshed.” And according to the Prussian General Karl von Clausewitz, “War is nothing but a continuation of politics with the admixture of other means.”

While the relationship between war and politics is often quite close, there is a world of difference between political and violent means to achieve one’s objectives. But recognizing how close these two essential human dynamics are to each other should elevate our appreciation for the importance of a healthy and robust politics in our societies and lives.

For this reason, I will take the word “politics” to refer to any process whereby two or more persons decide, through persuasion and without resorting to physical violence, who gets what value, when, where, how, and why.

In this definition, the keyword "value" means any sought-after value in life. It refers to any object, activity, idea, principle, goal, or other phenomenon upon which large numbers of people place appreciable value, something which is considered by many individuals and groups within the political community to be good, desirable, attractive, useful, rewarding, beneficial, or advantageous.

One set of values may be tangible, or material, in form, that is, in the form of money, property, or other economic goods, services, and conditions. Another set of values may be intangible; that is, the values may be symbolic, ideological, cultural, ethical, moral, or religious in character.

Examples of intangible values in politics include the expressed goals of political activists who assert that they are concerned primarily with "social" or "family" issues, that they seek mainly to promote and defend "social" or "family" values.

The keyword “WHO” refers to the winner-loser-contestant in a political conflict, for example, Magufuli versus Lowasa in an electoral contest, MP’s versus MP’s in a medicare budget fight, two or more aspiring managers in a match of office politics, or a neighborhood civic group versus a real estate developer in a community zoning dispute.

The keyword “WHAT” relates to the stakes in the battle, for example, preservation of an endangered species in an environmental politics fight, creation of a voting district designed to empower a particular group in a redistricting process, or custody of the family dog in the personal politics surrounding a contested divorce.

The keyword “WHEN” suggests that timing often can be a critical element in determining the achievement of a political goal. For example, maneuvering one’s boss for a pay raise will be a lot more difficult after an unfavorable earnings report; promoting passage of a death penalty statute may be substantially more successful after a grisly and callous murder.

The keyword “WHERE” indicates that political possibilities may differ from one terrain to the next. For example, passing gay rights legislation in America will be easier than in conservative Tanzania; locating a halfway house for substance abusers in a highly organized and affluent suburb can be much more difficult than in a poorly organized and disadvantaged neighborhood; paying hospitals for providing the same service will result in different levels of payment for urban teaching versus rural community institutions; getting one’s spouse to spend time with the in-laws may be easier if those relatives live in the same geographic area as opposed to an island in the Caribbean.

The keyword “WHY” synthesizes all of the above to explain why some person, group, or other entity (1) got what they wanted, (2) did not get what they wanted, (3) got what they did not want, or (4) did not get what they did not want.

And the key phrase “THROUGH PERSUASION AND WITHOUT RESORTING TO PHYSICAL VIOLENCE” places politics on a continuum of methods by which rights and resources within a society are distributed.

At one end of the continuum is democratic political action in a civil society; at the other end are violence, dictatorship, and war where normal civic functions have been eliminated or have lost their capacity to work. In other words, political action is the principal alternative to violence in figuring out how to deal with the disparate needs, desires, and values in society.

This concludes the bigger part of my expository analysis of the word “politics.” But it is not all. One helpful way to test the usefulness of a definition is to try it out with familiar categories. Following are some recognizable categories of politics presented here to test the definition of politics as the way people decide who gets what, when, where, how and why, but without resorting to violence.

DEMOCRATIC ELECTORAL POLITICS

Who gets the office—public or private—after being chosen by vote? This could be the Tanzania’s president, MP, councilor, school committee member, ward committee chairman, student council president, labor union secretary treasurer, condominium association president, chair of a local gay rights organization, minister, or thousands and thousands of other positions.

DEMOCRATIC BUDGET POLITICS

Who gets what levels of resources from federal, state, county, municipal, or private budgets, for what purposes, and from whom? Governments obtain their revenues from a variety of sources and then pursue a political process to determine how those funds will be allocated. In government, for example, choices are made among uses such as education, municipal aid, prisons, health needs, environmental programs, transportation and public works, tax cuts, public assistance, courts, and much more. Each one of these uses has a host of interest groups, lobbyists, and activists determined to get the largest possible share of the pie.

HEALTH CARE POLITICS

How much money is allocated for health purposes, and how are those funds distributed to, for example, hospitals, physicians, health plans, home health programs, public health initiatives, and community health centers? Within each of these categories, controversies also emerge concerning who gets what: teaching versus community versus rural versus public hospitals; primary-care physicians versus specialists; inpatient versus outpatient services; home and community versus institutional services. Who gets what rights when they belong to a managed-care organization? Who gets the right to have physician-assisted suicide?

REDISTRICTING POLITICS

Who gets what populations and borders when the time comes to redraw political district boundaries? Officeholders will seek to get and hold onto as many like-minded voters as possible and to minimize concentrations of voters who may not be as supportive. A familiar subtheme of this topic in America involves racial and ethnic issues, namely, who gets how many African Americans and/or Hispanics drawn into their districts?

CIVIL RIGHTS POLITICS

Who gets what protections written into law to guard against discriminatory treatment? Who gets special consideration to mitigate the effects of past discrimination? Who, if anyone, gets preferential treatment for jobs and educational admissions? In this political arena, as in many others, we can observe both internal politics—among and within various organizations for dominance and influence—and external politics involving these groups and non–civil rights groups opposed to or supportive of their goals and activities.

EDUCATIONAL POLITICS

Who gets to teach evolution versus creationism? Who gets a new school building in their community, and who pays for it? Who gets tenure, and who does not? Who gets public education resources: the traditional public school system or quasi-public charter schools? Who gets public dollars to promote higher education: the state university system or scholarship programs to help students attend private universities?

OFFICE POLITICS

Who gets the best office, the one with the corner window? Who gets the job title, the promotion, the raise? Who gets the burden of having to sit next to the copier machine? Who gets access to other employees’ E-mail folders?

NEIGHBORHOOD POLITICS

Who gets public permission via zoning approval to build an extension onto his or her house? Whose neighborhood gets the new subsidized housing for mentally ill individuals? How late will the corner tavern be permitted to stay open? Who gets to be (or gets stuck as) the leader of the local block association?

FAMILY POLITICS

Who takes care of the kids on the weekend? Who gets what household chores? Who gets to watch their favorite television program when there’s a conflict in scheduling? Who gets the kids or the house or the car in a marital separation? Who gets to have Thanksgiving dinner at their house?

CONCLUSION

In light of the above analysis, it does not appear to me that President Magufuli banned all political discourses in this nation. I think not. Thus, there is a need for our civil society, and our media houses in particular, to upgrade their "information analysis and evaluation" skills when it comes to reporting political matters.
Mbona umetumia makurasa mengi hivi na malugha ya watu ili uwaaminishe wazhungu kuwa huyu Dikteta Uchwara yuko sahihi??watu wana masikio na hawaambiwi kusikiliza. Katafakari mastori yako na ukajipime akili. Tunajua CCM wameruhusiwa kuendelea na siasa. Tunajua kuna hotuba elekezi na mikutano elekezi kutoka kwa magufuli. Hiyo sio siasa ukajipime tena. Sio kuwa hatujui lugha uliyotumia ila mwenye busara hawezi kutumia manguvu yoote kuandika upuuzi wote hivi akijua tutakaoelewa ni wachache. Tumia lugha la wazazi wako na ya nchi yako
 
Mbona umetumia makurasa mengi hivi na malugha ya watu ili uwaaminishe wazhungu kuwa huyu Dikteta Uchwara yuko sahihi??watu wana masikio na hawaambiwi kusikiliza. Katafakari mastori yako na ukajipime akili. Tunajua CCM wameruhusiwa kuendelea na siasa. Tunajua kuna hotuba elekezi na mikutano elekezi kutoka kwa magufuli. Hiyo sio siasa ukajipime tena. Sio kuwa hatujui lugha uliyotumia ila mwenye busara hawezi kutumia manguvu yoote kuandika upuuzi wote hivi akijua tutakaoelewa ni wachache. Tumia lugha la wazazi wako na ya nchi yako
.
NOK
 
Tazama hapa, anakubali kuwa Rais ame 'ban' mikutano. Halafu anasema umma na media zaikumwelewa !!! Hivi ku ban mikutano si ndicho media imeandika?Atueleza, ni sheria gani ya nchi inayosema hakuna politics post election season na ilitumika wapi.
.
Nimeongelea "electoral politics" wewe unaona "mikutano". Vipi?
 
The fact is He shouldn't ban ANY KIND of Constitutionally and Legally allowed Politics, It is not about half a pie that you give to a person and take his other half. GIVE IT ALL TO HIM IF IT BELONGS TO HIM, That is what the Law of Political parties section 11(1) says, this section stipulates clearly that Political parties can hold rallies to woo people to be Members of that particular party
 
.
Erythrocite, wewe nami tulikuwa wote Chadema hapo nyuma kidogo. Unajua fika jinsi Mesuma Hoteli Kijitonyama ilivyotumika. Unajua fika kwamba ule mkakati ulifeli. Baada ya uchaguzi na matokeo kutangazwa anajitokeza mgombea wenu anasema alishinda kwa asilimia 62% jambo ambalo wewe unajua fika ni uwongo. Ripoti yenye taarifa za kupikwa imeandaliwa na kusambazwa katika balozi mbalimbali kama ilivyokuwa mwaka 2010. Ile ya mwaka 2010 iliandaliwa na binti Sarungi. Sasa yuko CCM siri zimekwisha mwagika. Ungekuwa wewe ungekaa kimya bila kutoa mwongozo wa kuleta political stability katika nchi?
We would like to lead more of this, if you dont mind
 
Deus;
I can tell yu ma brother, nilikuwa follower wako sana lakini, nilipoisoma thread yako hii kuonesha kuwa ati wewe ndio tuu uliyeweza kumuelewa JPM na tamko lake hilo hivyo wengineo woote Tz hawakumwelewa!! Nimeshangaa. Bora tu nibaki na bongo langu uchwara kuliko kukubaliana na uandishi uchwara unaoonesha kutaka kujikomba ili mtu akumbukwe hata kwa U DC. Nisamehe bureeeee. Huwezi halalisha mkutano huu wa ccm wakati polisi wameweka msimamo tofauti na hayo mawazo yako. Waelimishe kwanza polisi
Watu wengi wamemwelewa Mh Rais vizuri kama mleta mada alivyoainisha. Propaganda za kupotosha za UKAWA zilizojaa JF, hazimaanishi kwamba watu wengi hawajamwelewa Rais.
 
UKAWA is claiming that Lowasa won the race by 62%, and they know it is NOT true, to quote you. However, I presume UKAWA are expected to have some fabricated/cooked facts, to support their statement. If I got you right, you seems to know much about the 'cooking', of which I would appreciate to hear more from you
 
Kahangwa, you would better know that our political parties together with their fanatic CSOs have only known and versed in the one way of doing politics, political rallies, basi! They know nothing other than that. They are void of political planning, strategizing, organising and the like. No wonder 25 years down the road no party is boastful of overt strong public support based on clear mainstream policy as alternative to the establishment. Parties are merely surviving on 'clouding politics of confusion' in a situation neither leaders nor members are clear of their respective parties' runs strategies. They are mere bunches of opportunists, period!
kama dhamira yako ni kuviponda vyama vya upinzani, kuwa tangu vianzishwe takribani miaka 25 iliyopita vimekosa dira, kumbuka pia ccm iko mafarakani miaka 55 ilyopita bado nchi ni askini, shule hazina madawati
 
UKAWA is claiming that Lowasa won the race by 62%, and they know it is NOT true, to quote you. However, I presume UKAWA are expected to have some fabricated/cooked facts, to support their statement. If I got you right, you seems to know much about the 'cooking', of which I would appreciate to hear more from you
.
Now I understand your concern. Since my thread was mainly focused on a somewhat different subject, I dont prefer to extend this discussion here. I briefly raised this matter as I was rebutting some nonsensical post from one visitor--Erythrocite. And it worked. You can trace me for this purpose. My phone is 0758341483.
 
The fact is He shouldn't ban ANY KIND of Constitutionally and Legally allowed Politics, It is not about half a pie that you give to a person and take his other half. GIVE IT ALL TO HIM IF IT BELONGS TO HIM, That is what the Law of Political parties section 11(1) says, this section stipulates clearly that Political parties can hold rallies to woo people to be Members of that particular party
.
As per constitution and statutory framework that we have now, the head of state has legitimate powers to override this right--and all otger rights in fact.
 
Mleta mada ni mnafiki tu.Anataka tu kuwavuruga watu.
.
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI, 1981) uk. 301 unasema kwamba "unafiki" ni ama "hali ya kujifanya kuwa ni rafiki na hali ni adui" au "hali ya kutokuwa mkweli." Umesema "mleta mada ni mnafiki." Unataka ichukuliwe maana ipi? Kama ni ya kwanza mleta mada ni adui wa nani? Kama ni ya pili, mleta mada amesema uwongo gani? Funguka...
 
Mbona umetumia makurasa mengi hivi na malugha ya watu ili uwaaminishe wazhungu kuwa huyu Dikteta Uchwara yuko sahihi??watu wana masikio na hawaambiwi kusikiliza. Katafakari mastori yako na ukajipime akili. Tunajua CCM wameruhusiwa kuendelea na siasa. Tunajua kuna hotuba elekezi na mikutano elekezi kutoka kwa magufuli. Hiyo sio siasa ukajipime tena. Sio kuwa hatujui lugha uliyotumia ila mwenye busara hawezi kutumia manguvu yoote kuandika upuuzi wote hivi akijua tutakaoelewa ni wachache. Tumia lugha la wazazi wako na ya nchi yako
.
Maneno "dikteta uchwara" maana yake ni "dikteta duni." Kama Magufuli ni dikteta duni mbona usikae kimya? Lingekuwepo tatuzi kama yeye ni "dikteta kiboko." Naona kama kanuni za lugha ya propaganda huzielewi. Pole kwa kufanya "copy and paste" ya maneno ya kina Tundu Lissu bila kuyatafakari
 
Back
Top Bottom