Magufuli didn’t ban all forms of politics...

RAIS JPM; Sitaki wanasiasa wanikwamishe kusimamia serikali yangu, hakuna shughuli za kisiasa hadi mwaka 2020, watu wafanye kazi tu!

JESHI LA POLISI; Mikutano ya ndani ya Vyama, ya hadhara na makongamano - vimepigwa marufuku tangu leo (Wimbo wa Hapa Kazi Tu) unasikika kwa mbali!

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA; Kauli ya RAIS inatafsiriwa vibaya, hajakataza shughuli za vyama vya siasa.

WAKUU WA MIKOA; Siasa mkoani kwangu ni marufuku, wakajifunzie huko, tuonane mwaka 2020 (wanaongea wakiwa kwenye vikao vya kisiasa na wazee wa CCM - wao hawajajipiga marufuku),

KINANA; Tunaendelea na maandalizi ya Mkutano Mkuu wa CCM.

BAVICHA; Safi sana, tutasafiri hadi Dodoma kusaidiana na Polisi kutekeleza agizo la RAIS, POLISI NA WAKUU WA MIKOA.

POLISI; Sorry, sorry, mikutano ya kikatiba ya vyama inaendelea kama kawaida, iliyokatazwa ni ya hadhara na shughuli za kisiasa.
 
I think hoja ya Nguruvi3 inabidi uijibu kwa ufasaha. Sababu hata waliokuwa wanakupongeza mwanzo (cc: Lizaboni) sasa hatuwaoni wakikusaidia naona unateseka mwenyewe. Sijui maji yamewafika shingoni.
 
.
RAIS JPM; Sitaki wanasiasa wanikwamishe kusimamia serikali yangu, hakuna shughuli za kisiasa hadi mwaka 2020, watu wafanye kazi tu! JESHI LA POLISI; Mikutano ya ndani ya Vyama, ya hadhara na makongamano - vimepigwa marufuku tangu leo! MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA; Kauli ya RAIS inatafsiriwa vibaya, Rais hajakataza shughuli za vyama vya siasa. WAKUU WA MIKOA; Siasa mkoani kwangu ni marufuku, wakajifunzie huko, tuonane mwaka 2020. KINANA; Tunaendelea na maandalizi ya Mkutano Mkuu wa CCM. BAVICHA; Safi sana, tutasafiri hadi Dodoma kusaidiana na Polisi kutekeleza agizo la RAIS, POLISI NA WAKUU WA MIKOA. POLISI; Sorry, sorry, mikutano ya kikatiba ya vyama inaendelea kama kawaida, iliyokatazwa ni ya hadhara na shughuli za kisiasa.
.
Misrepresentation and the fallacy of equivocation at work in terms of red text. Rais hakusema maneno hayo. Read my original thread again.
 
This is a very stupid and very low defense! All the interpretations by Media and Opposition Politicians were correct. You can not give a vague statement and expect people to get into your head and read what you meant! Also, Direct politics is not a crimes in Tz. So, whether you ban direct or indirect politics, that is infringement of the Human Rights stipulated by both the URT Constitution and International Treaties in which Tz is a State Party! I repeat, this is too low, you could better go and cook makande rather than coming here with such a horrible defense!
.
Ukimalizia degree yako ya sheria OUT urudi usome thread yangu. Baada ya hapo utakuwa na mwanga mpya. Kwa sasa bado. Endelea kujinoa KM.
 
Huyo unayemjenga ameelewa ulichoanndika? Alafu nilidhani kiswahili hujui, kumbe nawe ni Lee-Mchele!
 
Please understand this...nowhere in my statement have I alluded as to who that dicteta uchwara is but you Deus J. Kahangwa appears to know who fits that description, bravo! I must admit you are getting too good at sensory perception better known as telepathy or in a layman's language, mind reading.

You started by reminding all and sundry how wrong they were, wrong in the interpretation of Magufuli's words spoken in plain Kiswahili, our beloved National Language, did you read his mind too Deus J. Kahangwa? And now you are informing us that your kind of dikteta uchwara is none other than Magufuli.
 
.
Misrepresentation and the fallacy of equivocation at work in terms of red text. Rais hakusema maneno hayo. Read my original thread again.
Wewe ndiye unayefanya misrepresentation ya mambo

1. Rais amezungumzia 'marufuku' si katika mkutano mmoja.
Tueleze,ulimwelewa kwa kauli alizotoa katika mkutano gani kati ya aliyozungumzia.

2. Tukichukulia hoja ya hotuba ya viwanja vya Biafra ndiyo 'base' ya argument yako, bado hujamkariri vema. Alichosema ni kuwa '..uchaguzi umekwisha anataka kutekeleza aliyoahidi kwa wananchi. Kwamba, madiwani na wabunge waende wakazungumze kwa bidii katika maeneo yao'

Hapo alimaanisha hoja za kisiasa zipelekwe bungeni au kwa baraza la madiwani.

Kwa mtazamo wa baadhi, ni ujumbe makundi hayo yasifanye siasa nje ya maeneo yao

Hili ni baada ya wabunge wa upinzani kutaka mikutano kueleza nini kinaendelea bungeni.

Ikiwa ni hivyo, kuna ukiukwaji wa katiba na sheria za msajili wa vyama zinazotoa fursa kwa mtu kushiriki shughuli za kisiasa kwa kufuata taratibu zilizoanishwa

Pia kuna tatizo, wananchi wa kawaida wanaachwa nje ya mfumo wa kisiasa,unaogusa maisha yao kila dakika, saa na siku. Ukimsikiliza, aliomba jeshi la Polisi lisadie kazi hiyo

Kumbuka, ni jeshi la Polisi lililozuia mikutano bila sababu za maana kabla ya hapo.

Si kazi ya jeshi la Polisi kusimamia kipindu pindu, au magonjwa yasiyojulikana.

Jeshi la Polisi lina enforce sheria zilizopo na halipaswi ''kutunga sheria''
Kauli za magonjwa zinatolewa na wizara au idara husika na kuwa enforced na jeshi

Ikiwa afisa Afya, Daktari wa manispaa, mkoa au wizara hawajapiga marufuku mikusanyiko, jeshi la Polisi linapata nguvu kutoka wapi ku enforce kisichokuwepo?

Lini mazishi yamekuwa tukio la kisiasa hata kama linagusa wanasiasa?

Kwanini Mazishi ya Mwanza yalikuwa na matatizo, juzi kada wa CCM Arusha amezikwa kwa mkusanyiko kama ule wa Mwanza?

Na kama tukisema 'any form' ya mikutano, tuna maana hakuna shughuli za kisiasa.
Ikiwa ni hivyo, hii violation of human right kwa mujibu wa katiba ya nchi inapaswa kugusa jamii nzima na si sehemu ya jamii au makundi fulani

Ni vipi mahafali yenye hadhi za kipa imara,ndoa au harusi limekuwa tukio la kisiasa?
Na tukio la mahafali linakiuka sheria gani ya nchi kiasi cha jeshi kuingilia ili ku enforce

Kuruhusu CCM kuendelea na shughuli ni discriminations ambayo kikatiba imekatazwa.

Endapo ni specific form za mikutano, CCM wanaweza kuendelea na mkutano wao.
Hoja inakuwa, kwanini Zitto na ACT walikatazwa specific form pale millennium tower?

CCM hawafanyi mkutano kwa taratibu za usajili wa vyama.
Huu ni mkutano wa ziada katika kalenda yao, kwa maana kuwa siyo 'binding'

Wasipochagua mwenyekiti watakuwa hawajakiuka sheria yoyote ya vyama vya siasa.
Hivyo hoja kuwa ni kikao kinachozingatia sheria za usajili wa vyama ni misrepresentation!

Hoja inabaki , CCM wanafanya mkutano usio katika 'any forms au specific form'
Tunauliza, Polisi linawapa 'go ahead' kwa vigezo gani ambavyo wapinzani hawakukidhi.

Na Rais amepiga marufuku aina gani ya mikutano kati hizo mbili anazotetea Deus?
 
Wewe ndiye unayefanya misrepresentation ya mambo

1. Rais amezungumzia 'marufuku' si katika mkutano mmoja.
Tueleze,ulimwelewa kwa kauli alizotoa katika mkutano gani kati ya aliyozungumzia.

2. Tukichukulia hoja ya hotuba ya viwanja vya Biafra ndiyo 'base' ya argument yako, bado hujamkariri vema. Alichosema ni kuwa '..uchaguzi umekwisha anataka kutekeleza aliyoahidi kwa wananchi. Kwamba, madiwani na wabunge waende wakazungumze kwa bidii katika maeneo yao'

Hapo alimaanisha hoja za kisiasa zipelekwe bungeni au kwa baraza la madiwani.

Kwa mtazamo wa baadhi, ni ujumbe makundi hayo yasifanye siasa nje ya maeneo yao

Hili ni baada ya wabunge wa upinzani kutaka mikutano kueleza nini kinaendelea bungeni.

Ikiwa ni hivyo, kuna ukiukwaji wa katiba na sheria za msajili wa vyama zinazotoa fursa kwa mtu kushiriki shughuli za kisiasa kwa kufuata taratibu zilizoanishwa

Pia kuna tatizo, wananchi wa kawaida wanaachwa nje ya mfumo wa kisiasa,unaogusa maisha yao kila dakika, saa na siku. Ukimsikiliza, aliomba jeshi la Polisi lisadie kazi hiyo

Kumbuka, ni jeshi la Polisi lililozuia mikutano bila sababu za maana kabla ya hapo.

Si kazi ya jeshi la Polisi kusimamia kipindu pindu, au magonjwa yasiyojulikana.

Jeshi la Polisi lina enforce sheria zilizopo na halipaswi ''kutunga sheria''
Kauli za magonjwa zinatolewa na wizara au idara husika na kuwa enforced na jeshi

Ikiwa afisa Afya, Daktari wa manispaa, mkoa au wizara hawajapiga marufuku mikusanyiko, jeshi la Polisi linapata nguvu kutoka wapi ku enforce kisichokuwepo?

Lini mazishi yamekuwa tukio la kisiasa hata kama linagusa wanasiasa?

Kwanini Mazishi ya Mwanza yalikuwa na matatizo, juzi kada wa CCM Arusha amezikwa kwa mkusanyiko kama ule wa Mwanza?

Na kama tukisema 'any form' ya mikutano, tuna maana hakuna shughuli za kisiasa.
Ikiwa ni hivyo, hii violation of human right kwa mujibu wa katiba ya nchi inapaswa kugusa jamii nzima na si sehemu ya jamii au makundi fulani

Ni vipi mahafali yenye hadhi za kipa imara,ndoa au harusi limekuwa tukio la kisiasa?
Na tukio la mahafali linakiuka sheria gani ya nchi kiasi cha jeshi kuingilia ili ku enforce

Kuruhusu CCM kuendelea na shughuli ni discriminations ambayo kikatiba imekatazwa.

Endapo ni specific form za mikutano, CCM wanaweza kuendelea na mkutano wao.
Hoja inakuwa, kwanini Zitto na ACT walikatazwa specific form pale millennium tower?

CCM hawafanyi mkutano kwa taratibu za usajili wa vyama.
Huu ni mkutano wa ziada katika kalenda yao, kwa maana kuwa siyo 'binding'

Wasipochagua mwenyekiti watakuwa hawajakiuka sheria yoyote ya vyama vya siasa.
Hivyo hoja kuwa ni kikao kinachozingatia sheria za usajili wa vyama ni misrepresentation!

Hoja inabaki , CCM wanafanya mkutano usio katika 'any forms au specific form'
Tunauliza, Polisi linawapa 'go ahead' kwa vigezo gani ambavyo wapinzani hawakukidhi.

Na Rais amepiga marufuku aina gani ya mikutano kati hizo mbili anazotetea Deus?
Nafikiri huyu Kahangwa anataka tu kuendeleza mjadala. Anapenda ku bisha tu ili watu waendeleze mjadala. Anataka attention. Na angekuwa hajaelewa angekaa kimya ila ameelewa na anataka tu kuona watu wanasenaje.
 
Deus J. Kahangwa said:
Thus, an insignificant dictator is dangerous than a full-fledged dictator (conclusion).
Are you trying to imply that insignificant has the same meaning as uchwara? Is this another one of your idiotic interpretations?
Deus J. Kahangwa said:
This argument is nonsensical for two reasons: First, the major premise is self-contradictory in that it says an insignificant dictator is more dangerous than a full-fledged dictator. Even a kindergerten kid will laugh at this claim. And secondly, the minor premise is unsupported with facts. Thus, the conclusion does not follow from its premises. It falls flat.
Have you ever been told that a gun in the hands of a novice is more dangerous than one in the hands of a professional?
Novice leaders tend to rely more on emotions than wisdom. Great leaders don't need to act tough, their confidence and humility serve to underscore their toughness.

Fear most what you don't understand Deus J. Kahangwa for the accumulation of all powers, legislative, executive and judiciary in the same hands, whether of one, a few or many and whether hereditary, self-appointed or elective, may just be pronounced the very definition of tyranny.
 
Nimeupenda uchambuzi wako wa kisomi inanikumbusha kipindi cha kuandika paper au masuala ya research.
however, despite the fact that your analysis and conclusion is logical turning to the other side tunaweza kumpima mtu kwa nia yake ndani ya mind yake na moyo wake.
Ni kwamba mhusika kwa shauku aliyo nayo ya kuleta maendeleo asingependa kabisa mtu kumzuia au kuweka kigingi kwenye mapito yake. Na moja ya vikwazo vikubwa ni siasa na wanasiasa na si UKAWA pekee kama wengi wanavo perceive. Nasema siasa na wanasiasa! kwa hivi hapendi kabisa hizo siasa na kwa kusema vile ni kuonyesha ishara ya kupiga marufuku hizo siasa.
CCM wanajidanganya sana kwa kuwaponda wapinzani. Nadhani wataona mheshimiwa atakaposhika uenyekiti. Atakomesha pia siasa ndani ya ccm kwani nako kuna siasa sana kuliko hata ukawa. Sasa kupiga marufuku siasa kuna advavtages na diadvantages to many sides particularly polilitical animal. mpiga marufuku anaweza kulenga mawili, yeye mwenyewe au wanachi au yeye na wanachi sawia. na hapa si suala la chama!
Mleta mada nakupongeza kwa analysis yako ya kisomi wangu ni mtazamo tu.
 
John Burgess - The world cannot function without politics because humans cannot function without politics.
Even within the smallest unit of human society, the family, politics are in action.

Family members are constantly bargaining among themselves about the "who gets what, when, and how."
So do members of any larger group, be it tribe, town, country, or total of all countries.

The only way to avoid politics is to live by oneself, cut off from all other humans.
 
Unataka na sisi tuuamini??

Iwapo kila mtu ana his/her own true justified belief??

Hata hivyo hiyo ni aina ya maisha ya huko kuzimu

Tatizo la huko kuzimu ni
1) unafiki na uoga vikisindikizwa na mama yao mkubwa umaskini alie zaa njaa ambae wajukuu zake ni uoga na unafiki

Kundi dogo la watu huko litatawala milele

Suluhisho ni katiba mpya hasa ile ya yule waziri mkuu wa zamani vinginevyo mtaishi vivyo hivyo miaka nenda rudi

Mkuu kuipata ile Katiba itakuwa ngumu ,ci umeona wale waliokuwa wakubwa ktk tume ile walivyo pewa vyeo (walivyo zibwa midomo) ..Unafikiri kwa sasa hivi wanaweza tena kuitetea kwa kukaza shingo kama wakati ule?..Baadhi yao hata yale waliyo yapinga wakati huo kwa sasa ndio wameyakumbatia kwa mikono na miguu....
 
Back
Top Bottom