Magufuli atashindwa kama Nyerere

Dahhh coco beach iwe ya kulipia tena, ckukuu tutaenda wapi sasa, mazoez asubuh tutafanya wapi? Nayo tukalipie?

Watuachie coco yetu jamani.
 
Mimi simchukii magufuli as a person Bali kukurupuka kwake hatuezi kwenda nae sawa

Chuki yako kwa JPM iko wazi
Mpaka sasa jamaa anaminya mahali maalum.
Na ile hotuba yake kwa wafanya biashara imeonyesha jamaa anijua nchi hii vizuri sana na pita shoto zake.
Wale mliokuwa mnasema hajajiandaa kuwa rais kamezeni limao tu.
Sasa Assad huyo ambaye wewe ulikuwa unamwona kiongozi bora, asiyekurupuka, mwenye kauli nzuri kama za JK, aliyegeukwa makubaliano ya kugawana urais uvunguni sie hatumtaki.
Tulimtembezea ✂✂✂✂✂✂
Na vile viporojo vyake vya kesi ya ICJ viliishia hewani.
Hata ukilia Lowassa sio rais.
Tulimkataa.
 
Mtoa mada ebu kuwa serious yaani unatoa conclusion based on one project kweli.
Namuombea rejea speech ya JPM kuhusu Coco Beach weka apa neno kwa neno alafu ndo tuendelee na mjadala.
Pia ukipata tips za huo mkataba maana Kinondoni wanasema Manji kakiuka mkataba.
Next time never conclude unless uko na data za kutoshakuhitimisha au unless kama ulikuwa wataka ongeza idadi ya post.
KKuwaita wafanyabiashara kushare nao fursa kama za viwanda vya ngozi madini na fursa kwenye fukwe zetu ni wazi JPM is +ve on what what you are saying he is -ve
 
Mkuu swala la beach huwezi kulilinganisha na mambo ya Nyerere miaka ya nyuma, Sio kila kitu utawapa investors kwa sababu tu wanataka, sehemu nyingine utaziacha public tu, sasa ku~privatize sehemu za free kama hizo mwisho wa siku utaenda utaambiwa ulipe mshiko wa juu kuwepo tu pale sijui utajisikiaje.

Na Magufuli alichoongea kua sometimes waangalie kuboresha na sehemu za nje ya miji kidogo, it was a good move, makampuni makubwa sana yakisema yanaanzishwa out of the city maana yake sio tu ongezeko la ajira ila social services zinasambaa kwa sababu kuna pesa kule pataanza kuangaliwa, jiji linazidi kupanuka vizuri bila kuleta inconveniences zozote kwa public.

Magufuli akifeli sitomlaumu, ni kazi kubwa sana kufix whats already broken, mimi nitawalaumu watanzania kwa kua hawako supportive kabisa. Kazi ya kujenga taifa sio ya Rais, Waziri mkuu na specie chache za bungeni peke yake, ni kazi ya kila mtu.

Ni sawa kabisa nami naamini hawahawa wanaosema Magufuliatashindwa ndio wanaotaka ashindwe ndio vibaraka wenyewe. Ningemuona wa maanaangesema iwapo Magufuki anataka afanikiwwe afanye moja mboli tatu! Watakamaendeleo ya watu wote tuwe macho na walaghai wapiga propaganda kama hawa!!MAgufuli Go hawa waoiga kelele wasikukwaze majority tuko pamoja nawe!
 
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.

hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.

hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

argue,don't shout!

Kama mzazi wako alinipeleka shule basi napoteza fedha zake..naona magufuli kawashika pabaya..yaani unataka manji aendelee kuchekewa kisa ana fedha...
Ukweli ni kwamba sheria zipo zinazozuia uwekezaji maeneo ya wazi kwa matumizi ya raia wote..ukifwatilia ya manji utagundua uozo na rushwa kubwa nyuma yake..heko magufuli kuongea kama rais wa nchi...
Na anayesema nyerere alifeli ni mpumbavu na Hana shukrani..just imagine ingekuwaje kama nyerere angekuwa kama mkwere...? Kuweni na shukrani walau kidogo jamani...mmezoea wizi na kuishi kijanja janja ...
 
Magufuli chapa kazi.... hawa midomo ya mafisadi papa wameshashindwa.... wanahaha.....

TANZANIA mpya naiona...
 
Waliokuwa wanapenda mteremko sasa wanaumbuka, kuna vijitu vilikuwa mtaani vinajifanya vitapewa vyeo vya bure sasa dalili hazipo kabisaaa, tenda zimekatwa, safar za nje zimeyeyuka, matamasha yamezikwa rasmi, ukuu wa wilaya na ukurugenzi raman haisomeki kabisaa, wizara zitapungua, hakuna kununua magar mapya(v8) na yaliyopo marufuku kutumika kwenye shughul binafsi, ten percent ni ndoto tena...majipu ni mengi sana kwahiyo msishangae kuwaona wagonjwa wakiweweseka kila siku

Na aendelee tu kuyatumbua haya majipu na yakileta ubishi tutamshikia aendelee kuyatumbua mpaka vijipu uchungu
 
Kimsingi Mh. JPM amesha sema Siasa basi, kipindi cha kampeni kimeisha sasa ni wakati muafaka wa kujenga taifa kwa upeo wangu Mradi wa coco beach ni Mradi mzuri kama utasimamiwa na kujengwa na Halmashauri yenyewe siyo kupitia kwa wafanya biashara madalali na matapeli hivyo basi ni wajibu wa kila mmoja wetu kutoa mawazo chanya yenye kujenga na kusonga mbele siyo kutoa mawazo ya kupinga Jambo bila kutoa ufumbuzi ya kinifu. Kimsingi kuanza kufikiria nyuma upungufu wa viongozi wetu waliopita NYERERE, MWINYI, MKAPA JAKAYA Haita saidia kwani muda wao ushapita na walicho jaaliwa kufanya wamefanya kwa uwezo walio jaaliwa nao. Hivyo basi tukune vichwa vyetu na kuoa Mawazo yenye tija kwa Taifa ili tusonge mbele. Kama Manji ni Tapeli basi tuchukuwe Idea zake nzuri tuzifanyie kazi kama Taifa na tuzianzishe kwa faida ya taifa letu.
 
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.

hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.

hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

argue,don't shout!

Mkuu ukiona raisi kaliongelea namna ile basi jua tambua na elewa kuna figisufigisu imepita,nimfahamuvyo JPM anataka sana wawekezaji haswa wazawa kama manji, lakini ukiona anakataa basi kuna namna isiyo sawa hapo
 
kwaio uwekezaji wa manji cocobeach ni wa hovyo?

Exactly, kwani Dar kuna beach moja tu kwanini hakutaka kuwekeza kwenye beach nyingine? Aende zake kama vipi kuna mapori kibao anaweza kuweka atakacho kwakuwa ana pesa na akavutia watu lakini kwa COCO BEACH ni Big No
 
Sehem Kama coco sio sehem anayopewa muwekezaji, eneo Kama lile serikali ndiyo inatakiwa itengeneze Kama ni restaurants na starehe zingine ila raia kwenda kuogelea au kuchezea mchanga iwe ni bure, unafkiri Manji akipajenga pale kuna mtu atakae Ona tena ule mchanga bila kulipa kiingilio?itakuwa Kama Golden tulip au see cliff.
 
Mimi simchukii magufuli as a person Bali kukurupuka kwake hatuezi kwenda nae sawa

P.mbavu ww, eti "hatuwezi kwenda naye sawa" wewe na nani? mliozoea vya kunyonga au?

Kila siku, ukilala ukiamka, wewe ni kumkandia Magufuli tu, huna kingine unacho kiwaza?

hivi 221t huyu jamaa yenu mnamsubirisha nini kumtia kwenye kisma?
 
NYERERE ALIFELI VIBAYA SANA ECONOMICALLY INGAWA ALIFANIKIWA SOCIALLY.
MAREKANI NA WESTERN HUAMINI UKITAKA KUMTAWALA MTU MKONTROL ECONOMICALLY.

sasa Nyerere alidai hataki wawekezaji kwa rasilimali zetu mpaka tupate uwezo wetu wenyewe. tungekaa kusikiliza mawazo hayo tungekaa miaka 1000 labda ndio technology tunngekua tumeipt pamoja na fedha.

hivyo 1992 iliamuliwa kuruhusu uwekezaji katka madini, gesi,elimu,afya,umeme,usafirishaji,viwanda,mawasiliano nk sasa iv kila MTU anasimu,TV vitu vidogo unavovisense where ur. je kusingekuwa na uwekezaji what do u think?.
magufuli nae anataka kumzuia manji asiwekeze cocobeach eti watu wa mazenze wataogelea wapi? uwekezaji huo ulikua haubadilishi matumizi ya public Bali kuboresha ;mazingira na yawe ya kuvutia. issue sio kuzuia uwekexaji Bali mkataba na sheria nzuri zs uwekezaji. Leo mek sadik nae kaogopa anamuomba manji aache uwekezaji pale cocobeach.

hizi Sera za nyerere si zilijifia kitambo kuzifufua na kujisumbua tu.

argue,don't shout!

Una hoja za msingi sana but ninachoona na kuhisi unaupinzani usio kuwa na tija na magufuli then inaonesha u mdini sana na inawezekana kabisa ni mtu hatari sana katika hii nchi ukiambiwa uuwe ili uwe bilionea hapa tanzania haushindwi kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom