gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Mh magufuli aliainisha urefu wa barabara tangu tulipo pata uhuru.
Alieleza uongozi wa JK umejenga 11300km kwa kutumia pesa za ndani kwa asilimia 80 ukilinganisha na 1300km tulipopata uhuru na 5000 km kipindi cha Mkapa.
Aliyazungumza katika hafla kuwekwa kwa jiwe la msingi uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya mayamaya Dodoma!
Alieleza uongozi wa JK umejenga 11300km kwa kutumia pesa za ndani kwa asilimia 80 ukilinganisha na 1300km tulipopata uhuru na 5000 km kipindi cha Mkapa.
Aliyazungumza katika hafla kuwekwa kwa jiwe la msingi uzinduzi wa ujenzi wa barabara ya mayamaya Dodoma!