Kuna watu wanashambulia kwamba kila siku ni matamshi ya kuombewa. Sijui kwa nini hawa hawakutamka wakati Magufuli anachukua fomu. Nimeamua kuweka thread inayojitegemea ili kuwakumbusha.
Wadhamini wa mgombea mmoja wa CCM walitakiwa wawe wachache tu, mmoja wa wagombea akaenda na watu wengi zaidi ya mara mia moja ya wale waliotakiwa!. Ngoma ikivuma sana haichelewi kupasuka. Wengine wanao msemo usemao kuwa anayejikweza atashushwa na asiyejikweza atapandishwa hadhi yake. Utu wa mtu ni kitu chema sana, na hutazamwa na walio wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.