Amesema ameenda mwenyewe kushuhudia ujenzi wa uwanja kwa kuwa angeulizia angedanganywa na kusema kesho kazi iendelee kufanyika mara moja na madai atayashughulikia
Pia amesema yeye ndie atakuwa consultant wa ujenzi wa uwanja huo na waziri kila siku atakuwa anamletea ripoti na atafute ma injinia wenye uzalendo wa Tanzania na wakilipwa fedha, fedha hiyo ibaki Tanzania
Mkuu acha tu hata kule kutembea tu as window shop ktk mauwanja ya mbele inaraha yake au kuwa kwa Spa wakati wakusubiri mda ufike ninooooma sanaMambele.....
Mkuu acha kabisa, nilitua kwa Masaa machache Abu Dhabi na Etihad, kwa kweli nilipatamani sana iwe ndio KIPAWA
Nimeiona nasubiri kufungwa kwa Manji Idd Azani na Mbowe kule KekoUmeuona orodha ya Makonda?
Hii iingizwe kwenye maajabu ya Dunia, Rais kuwa Consultant? Ni Tanzania pekee, halafu mkiambiwa mnafanya biashara mkiwa Ikulu mnakasirika?Mwambie drama zimetuchosha asibadilishe mada wamelianzisha la unga walimalize. Huo ucosultanat anautaka wa nn wakat yy ndio kila kitu
Amesema ameenda mwenyewe kushuhudia ujenzi wa uwanja kwa kuwa angeulizia angedanganywa na kusema kesho kazi iendelee kufanyika mara moja na madai atayashughulikia
Pia amesema yeye ndie atakuwa consultant wa ujenzi wa uwanja huo na waziri kila siku atakuwa anamletea ripoti na atafute ma injinia wenye uzalendo wa Tanzania na wakilipwa fedha, fedha hiyo ibaki Tanzania
Ni hatari sanaHii iingizwe kwenye maajabu ya Dunia, Rais kuwa Consultant? Ni Tanzania pekee, halafu mkiambiwa mnafanya biashara mkiwa Ikulu mnakasirika?
Unga peke yake hauendeshi nchi. Ye kisha toa tamko linafanyiwa kazi. Kuna mambo mengine mengi yalishaanza so lazima yasonge.Mwambie drama zimetuchosha asibadilishe mada wamelianzisha la unga walimalize. Huo ucosultanat anautaka wa nn wakat yy ndio kila kitu
Bampa tu bumperAisee nchi ipo busy hadi raha yan! huku magufuli huku makonda !!! Mungu Ibariki Tanzania.
Usalama lazima uwepo kwa raisi yeyote yule dunianiMbona usalama upo juu hivyo ? kwa kikundi kidogo cha watu au ndo kujihami na hii vita ya wazee wa sembe
Mkuu kweli kabisa inatakiwa na viogoz woteAisee nchi ipo busy hadi raha yan! huku magufuli huku makonda !!! Mungu Ibariki Tanzania.
Watanzania tufike mahali tuache kushabikia ujinga......... Kisha tuwapongeze viongozi pale wanapofanya kazi na kutimiza wajibu wao. Km wewe ni mmoja wa wahanga pole na punguza munkari.Mwambie drama zimetuchosha asibadilishe mada wamelianzisha la unga walimalize. Huo ucosultanat anautaka wa nn wakat yy ndio kila kitu
Kama kawaida yao ukubali uchekwena wakabisha