mchagahalisi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 619
- 360
Hivi wale jamaa wa Clouds TV kipindi cha clouds360 wametoswa?
Utapangiwa kazi nyengine mamaNiangalizieni jina la 'Mamndeny' kapangwa wilaya gani?
Magesa mulongo hajawahi kuteuliwa mmbunge,ulikuwa ni uzushi tu.
Unaondoka ccm uende wapi? Unathubutu kutema big G kwa karanga za kuonja? Huko 'wakiwa' hata hamjitambui.
Haikuwa kweli mkuu ulikuwa uzushi tu.Hiv sio kweli Magesa kapewa ubunge????
Haikuwa kweli.Hiv sio kweli Magesa kapewa ubunge????
Kumbe alikuwa kada mzoefu.View attachment 360436
Ccm ni...
nasoma magazeti ya leo kumbe ni panga kweli kweli, yaani ni nshaa nshaaaHapana hajabaki betty alikua mvomero ila naona kawekwa mwingine
aiseee kumbe watu wanajua kuzusha sana.Haikuwa kweli mkuu ulikuwa uzushi tu.
kutoka lecturer kuwa dc inalipa kweli????