Ninesoma ile habari ni typing error alimaanisha sh. mil 100 kwa mwezi ambapo ukipiga mahesabu toka dec 2011 mpaka sept 2015 ndiyo unapata lile deni. Jiongeze kidogo babu.
Hii habari bado haiko sahihi, maghorofa mangapi yana nafasi kiasi gani etc kuweka idadi tu ya pesa na mkopo wa miaka 15 ina maana gani? Ni ya nani? etc. Wengine tupo Alaska ebo!