yamindinda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,581
- 1,318
let us wait ....time will tell
Jinsi ya kuwahadaa watanzania pia jinsi ya kuwachonganisha Wapinzani kimya kimya pasipo kujilikana hata mageuzi ya kula pesa za chama kijanja pia atayafanya.Mageuzi gani hayo??
Mara hii wivu lazima ukupeleke AkheraUsanii tu Mkuu. Chama kinachotoa rushwa kwa Wabunge wake ili wapitishe muswaada uchwara kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinadhani bado tuko kwenye mfumo wa chama kimoja na hivyo kutoiheshimu katiba ya nchi kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinapora bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kamwe hakiwezi kubadilika. Chama kinachodai kwamba mahakama ya ufisadi kutokuwa na kesi ni ishara nzuri wakati kuna mafisadi chungu nzima ambao hawaguswi na mkono wa sheria kamwe hakiwezi kubadilika.
Hiyo mahakama ianze na kesi ya Kivuko kibovu cha Dsm to Bagamoyo na mabehewa chakavu kwanza ndipo watu watajua wapo tayari kwa kesi.mahakama ya mafisadi ni kwa ajili ya kufugia popo
Ila Chadema ukoo wa popo unawezaCcm ni ukoo wa panya sio rahisi kufanya mageuzi
Na Ubongo mpya kama wa wabunge wa Upinzani kule Africa kusini.Labda awekewe;
- damu mpya
- moyo mya
- figo mpya
- maini mapya
- bandama mpya
- mapafu mapya HADI
- mifupa mipya
Umeonaa eeh Mkuu ukiwasikiliza hawa maiti utakosa uhalali wa kuitwa mzima badala yake utaonekana mgojwa.Walewale vichwa vilevile vikichoka vinahamia chadema kwenda kuleta mabadiliko!!
Akitoka clouds anaenda nyumbani kwa Lipumba kupewa semina zaidi hiyo ndiyo ratiba yake ya leo.Tarehe22/12/2016,
Asubuhi saa2, Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Ndugu Humprey Polepole atakuwa Clouds Tv na Uhuru Fm akizungumzia mageuzi Makubwa Ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Usikose.
Uliona wapi shina la MBUYU LIKIYUMBA?Trust me watakao ipiga chini ccm 2020 Ni ccm wenyewe
Sasa kama hata akili yako mwenyewe huiamini huoni kuwa humo kumukichwa kuna hitilafu kwenye fyuzi kadhaa?sidhani kama anawazidi lema, tundu lissu, mbowe , halima mdee, msigwa
Kweli mkuuUsanii tu Mkuu. Chama kinachotoa rushwa kwa Wabunge wake ili wapitishe muswaada uchwara kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinadhani bado tuko kwenye mfumo wa chama kimoja na hivyo kutoiheshimu katiba ya nchi kamwe hakiwezi kubadilika. Chama ambacho kinapora bilioni 16 za wahanga wa tetemeko kamwe hakiwezi kubadilika. Chama kinachodai kwamba mahakama ya ufisadi kutokuwa na kesi ni ishara nzuri wakati kuna mafisadi chungu nzima ambao hawaguswi na mkono wa sheria kamwe hakiwezi kubadilika.