yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
kweli mnafanya biashara lakini MNABOA,kwani hamna kingine cha kuandika zaidi ya 'kanumba'?.Mbaya zaidi mnatumia story za kutunga, mkijua wateja wenu (wanawake) vichwa maji.BORA mtunge stori kuhusu tulio hai, kuliko marehem asiyeweza kukanusha ujinga wenu. ACHENi MAREheMU APUMZIKE KWA AMANI SASA!