Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,992
- 22,196
Wapendwa wakati umefika kuishi kama tuko tarime nakumbuka siku moja nikisoma mada moja ya uhuni na wizi wa magari yalioagizwa kutoka dubai na actla kwa bei ya japan kama mapya kumbe used...ikasikika TRA wanamefunga acc za atcl..mwisho wakafunguliwa hilo nilion daily nyuzi..sasa imefika wakati wa watnzania kudai haki zao kama sijakosea idadi ilionyesha yaliletwa magari 26 yaliotolewa nakufanya kazi ni 10 tusasa kama inafika magari 16 yanaishia hewani na serikali wamekaa kimya tukisema ndiop yanayotumika kwenye kampeni za CCM sijui tutakosea...embu tuamke wapendwa yale magari mashangingi yalikuwa kwenye hekalu la mtu binafsi sasa kama tutaacha upuuzi huu ukiendelea sijui KIKWETE ana mpanngo gani na wahuni hawa..anyway ngoja tusubir ....Nahisi wakati wa kuamka kudai haki zetu