chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
...Nafikiri uko kwenye Sheria ndogo ndogo za Halimashauri za Miji..Ivi ule utawala wa sheria ambao huwa unahubiriwa na serikali pamoja na vyombo vyake upo wap?
...Nafikiri uko kwenye Sheria ndogo ndogo za Halimashauri za Miji..Ivi ule utawala wa sheria ambao huwa unahubiriwa na serikali pamoja na vyombo vyake upo wap?
Utasikia: Wang'olewe Gia zao!Sasa hao madereva kama wana vunja sheria kila siku na wapigwa faini lakini bado Wamekuwa wagumu kutii sheria wafanyajwe.....?
Yaani Umeshuhudia wewe Mwenyewe and then Chanzo: ITV? AmbiguousBaada ya agizo la Rais Magufuli kwa watu wanaotumia barabara ya mwendo kasi magari na piki piki zao kung'olewa matairi.
Agizo hilo limeanza kutekelezwa kwa pikipiki na magari kung'olewa matairi.
Nimeshudia pikipiki na magari yaliyong'olewa matairi kwa macho yangu.
Kamanda Mpinga kasema watu hao watafikishwa mahakamani. Hukumu kabla ya kesi, kama polisi akikuchukia kwa visa binafsi na kukuchomekea umetumia barabara ya mwendo kasi imekula kwako.
Bado natafakari!
Chanzo: ITV habari
Sahivi tutaheshimiana tu mkuuIfike wakati waafrica tujifunze namna ya kufuata sheria, umeambiwa ni barabara special ya mabasi maalum, we mbio na Vits yako au tukutuku yako..... iking'olewa tairi usilalamike, fools learn in a hard way!!