Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
Hivi Mkuu hakuna fundi anayeweza kumodify hiyo mashine ya 75000 akaweka kamota kadogo kakuendesha?
Kama kuna mtu namjua fundi anayeweza kufanya hicho kitu anijuze tafadhali

Mkuu kama uko Dar basi nenda SIDO karibia Jet. Kuna mtu anafanya hii kazi pale.
 
habari mkuu eti hii mashine ya 75000 ikoje?au ndo hizihizi za kugrand nyama ambazo c lazima 75000 cz zna bei tofautitofauti

Mkuu ndio hizo za nyama ila inabidi uchukue kubwa ya mwisho no 22 ndio itafaa zaidi
 
Mkuu kama uko Dar basi nenda SIDO karibia Jet. Kuna mtu anafanya hii kazi pale.
Mkuu asante sana nipo Dar ndio.
Nitafunga safari kwenda pale.Japo sijui ukifika pale unamuulizia nani maana kwenda kimguu mguu bila no ya simu ya huyo mtu unaweza usimkute aua ukakuta kasafiri
 
Mkuu asante sana nipo Dar ndio.
Nitafunga safari kwenda pale.Japo sijui ukifika pale unamuulizia nani maana kwenda kimguu mguu bila no ya simu ya huyo mtu unaweza usimkute aua ukakuta kasafiri

Mpigie huyu jamaa halafu muulize akupe mawasiliano ya jamaa anayetengeneza mashine za mkaa pale sido. 0767 605137
 
Kuna watu wamekuwa wakiniuliza kuhusu utozwaji wa ushuru unapokamatwa na trafiki inakuwaje. Maana kwa kawaida kama unasafirisha mkaa wa kawaida kwa lori kutoka mikoani kunakuwa na kulipia ushuru au tuseme faini kwa kuwa serikali inataka kupunguza uharibifu wa mazingira inajaribu kutoza kodi nyingi kuvunja watu moyo ili wasiendelee kukata miti hovyo na kutengeneza mkaa.

Kwa mkaa huu wa kisasa unapokamatwa au kusimamishwa na trafiki huwa anapouangalia na kukuta ni wa kisasa huwa anakuuliza tu umwonyeshe leseni ya biashara tu. Hii husaidia kukutofautisha na wale wanaosafirisha mkaa wa kawaida. Kifupi ni kuwa huhitaji kibali maalumu kutoka maliasili kusafirisha mkaa huu wa kisasa. Hii ni kutokana na uzoefu wangu
 
Mkuu biashara kwema? Yani leo ndo nimeona hii post yako na imenivutia sana na huu ujasiriamali. Mimi nitakutafuta unitumie dvd ya mkaa nikipata penye access ya internet, niko dar usisite kunipa sapoti mkuu nimechukua nambako ntakutafuta.
Kuna watu wamekuwa wakiniuliza kuhusu utozwaji wa ushuru unapokamatwa na trafiki inakuwaje. Maana kwa kawaida kama unasafirisha mkaa wa kawaida kwa lori kutoka mikoani kunakuwa na kulipia ushuru au tuseme faini kwa kuwa serikali inataka kupunguza uharibifu wa mazingira inajaribu kutoza kodi nyingi kuvunja watu moyo ili wasiendelee kukata miti hovyo na kutengeneza mkaa.

Kwa mkaa huu wa kisasa unapokamatwa au kusimamishwa na trafiki huwa anapouangalia na kukuta ni wa kisasa huwa anakuuliza tu umwonyeshe leseni ya biashara tu. Hii husaidia kukutofautisha na wale wanaosafirisha mkaa wa kawaida. Kifupi ni kuwa huhitaji kibali maalumu kutoka maliasili kusafirisha mkaa huu wa kisasa. Hii ni kutokana na uzoefu wangu
 
OFA MAALUM: Kutokana na maombi ya watu wengi na kutokana na kuona watu wengi wakionyesha hamu na interest kuanzisha biashara ya kufuga na kuuza samaki yaani kuwa na bwawa la samaki, na pia mimi kujuana na baadhi ya wataalamu wa ufugaji huo hapa nchini nimeona niwasaidie watu kuweza kuanzisha miradi yao ya ufugaji wa samaki kwa kutumia mabwawa majumbani mwao.

Haijalishi una eneo la ukubwa gani kwa ajili ya kujenga bwawa lako hata kama ni la mita 5 kwa 5 unaweza jenga ka bwawa kadogo na kupata kipato kikubwa tu. Kutegemeana na mtaji wako na ukubwa wa eneo lako unaweza jenga bwawa kwa urefu wa mfuko wako. Pia itategemea unafuga aina gani ya samaki, unaweza fuga wa maji baridi au cumvi au wale wa urembo.

Utaweza pata ujuzi wote huu kama ofa ya bure ntakayokutumia km ofa maalum iwapo utanunua mafunzo haya ya kutebngeneza mkaa wa kisasa. Pia ntakuunganisha na mtaalamu mmoja wa mambo haya ya ufugaji wa samaki kwa ushauri unaoendelea wa ufugaji na ujengaji bwawa la samaki iwapo utanunua mafunzo haya.

0758 308193
 
Pia kile kitabu cha siri kuu 4 usizozijua ambazo wafanyabiashara wakubwa wanazitumia ndio maana wanaendelea na wajasiriamali wadogo wanabaki bila maendeleo, kipo kinatolewa bure km ofa ukinunua mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa
 
Nimeamua kutoa ofa nyingine ambayo wengi wamekuwa wakiiomba niwape baada ya miezi kadhaa nyuma kuiongelea katika thread hii. Mafunzo haya yanahusu utengenezaji wa kuni za kisasa kabisa ambapo haihusishi na kukata miti kabisa. Hii inahusisha recycled materials. Na material inayotumika hapa ni moja tu na haihitaji process yoyote ile ya uchanganyaji na kitu chochote kile kingine. Ni raw material moja tu.

Pia ukinunua mafunzo haya ya mkaa na ntakapokupa ofa hii ya bure pia ntakuunganisha na mwenye kiwanda anayetengeneza kuni hizi ili uende ukatembelee uone jinsi zinavyotengenezwa na pia ni wapi utanunua hizi mashine za kutengenezea hizi kuni ambazo zimekuwa zikipendwa na kutumiwa na watu kwa kuwa gharama yake ni ndogo kuliko hata mkaa wa kisasa wala huu wa kawaida. Hivyo karibuni.


W2.jpg W3.jpg g.jpg W4.jpg
 
Nimeamua kutoa ofa nyingine ambayo wengi wamekuwa wakiiomba niwape baada ya miezi kadhaa nyuma kuiongelea katika thread hii. Mafunzo haya yanahusu utengenezaji wa kuni za kisasa kabisa ambapo haihusishi na kukata miti kabisa. Hii inahusisha recycled materials. Na material inayotumika hapa ni moja tu na haihitaji process yoyote ile ya uchanganyaji na kitu chochote kile kingine. Ni raw material moja tu.

Pia ukinunua mafunzo haya ya mkaa na ntakapokupa ofa hii ya bure pia ntakuunganisha na mwenye kiwanda anayetengeneza kuni hizi ili uende ukatembelee uone jinsi zinavyotengenezwa na pia ni wapi utanunua hizi mashine za kutengenezea hizi kuni ambazo zimekuwa zikipendwa na kutumiwa na watu kwa kuwa gharama yake ni ndogo kuliko hata mkaa wa kisasa wala huu wa kawaida. Hivyo karibuni.


View attachment 205109 View attachment 205110 View attachment 205116 View attachment 205111


Nikutumie email unitumie hiyo ofa maana nilishanunua mafunzo kutoka kwako na ukanitumia zile ofa nyingine
 
Ni sms email yako ntakutumia ucjali

Nashukuru sana bro. Halafu nilisahau kukwambia, nataka uje utembelee greenhouse yangu niliyojenga ili unipe ushauri wako km nimejenga sahihi. Yale mafunzo yako yamenisaidia nimejenga ka greenhouse kadogo.
 
Mkuu Biashara kwa kuwa Topic yako ya green katika video hatuwezi tena kukomenti pale naomba niulize swali la green house hapaKuna teknolojia nyingine nimeisoma mahali inahusu AGRO NET ambayo ni bei nafuu kuliko hata green houseJe hii wewe unaizungumziaje kama unajua tafadhali isije kuwa rahisi huumiza maana MAELEZO KIDOGO YAKO HIVIKampuni ni BrazAfric Enterprise (T) Ltd ...1. Kuna net za aina mbile (a) Tomato, pilipili hoho etc family matundu yake yana upana wa 0.4mm X 0.7mm - urefu wake ni mita 30 na upana ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 285,000/- (Ex-warehouse Arusha). (b) Vegetable net ambapo matundu yake ni 0.7mm X 0.9mm - kwa ajili ya cabbage na mboga zinginezo zenye kuchanua majani - urefu wake ni mita 30 na upana wake ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 260,000 (Ex-warehouse Arusha).2. Net hizi zinadumu kwa muda wa miaka mitatu3. Net hizi zinapunguza kwa kiasi kikubwa utumiaji wa madawa ya kuua wadudu na inaboresha afya ya mlaji.4. Ukuaji wa zao lako mara tatu zaidi (kwa muda mfupi)
 
Mkuu Biashara kwa kuwa Topic yako ya green katika video hatuwezi tena kukomenti pale naomba niulize swali la green house hapaKuna teknolojia nyingine nimeisoma mahali inahusu AGRO NET ambayo ni bei nafuu kuliko hata green houseJe hii wewe unaizungumziaje kama unajua tafadhali isije kuwa rahisi huumiza maana MAELEZO KIDOGO YAKO HIVIKampuni ni BrazAfric Enterprise (T) Ltd ...1. Kuna net za aina mbile (a) Tomato, pilipili hoho etc family matundu yake yana upana wa 0.4mm X 0.7mm - urefu wake ni mita 30 na upana ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 285,000/- (Ex-warehouse Arusha). (b) Vegetable net ambapo matundu yake ni 0.7mm X 0.9mm - kwa ajili ya cabbage na mboga zinginezo zenye kuchanua majani - urefu wake ni mita 30 na upana wake ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 260,000 (Ex-warehouse Arusha).2. Net hizi zinadumu kwa muda wa miaka mitatu3. Net hizi zinapunguza kwa kiasi kikubwa utumiaji wa madawa ya kuua wadudu na inaboresha afya ya mlaji.4. Ukuaji wa zao lako mara tatu zaidi (kwa muda mfupi)

Mimi sijawahiku deal na hiyo kampuni hivyo siwezi jua km ni legitimate au vipi. Kampuni ninayodili nayo sana inaitwa balton tz walioko Arusha ambao watu wengi wanawatumia na wamekuwa wakifanya hii business kwa muda mrefu. Wao wanauza net kwa sh 1500 kwa square meter.
 
Mkuu Biashara kwa kuwa Topic yako ya green katika video hatuwezi tena kukomenti pale naomba niulize swali la green house hapaKuna teknolojia nyingine nimeisoma mahali inahusu AGRO NET ambayo ni bei nafuu kuliko hata green houseJe hii wewe unaizungumziaje kama unajua tafadhali isije kuwa rahisi huumiza maana MAELEZO KIDOGO YAKO HIVIKampuni ni BrazAfric Enterprise (T) Ltd ...1. Kuna net za aina mbile (a) Tomato, pilipili hoho etc family matundu yake yana upana wa 0.4mm X 0.7mm - urefu wake ni mita 30 na upana ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 285,000/- (Ex-warehouse Arusha). (b) Vegetable net ambapo matundu yake ni 0.7mm X 0.9mm - kwa ajili ya cabbage na mboga zinginezo zenye kuchanua majani - urefu wake ni mita 30 na upana wake ni mita 5.5 (165SQM) bei TShs. 260,000 (Ex-warehouse Arusha).2. Net hizi zinadumu kwa muda wa miaka mitatu3. Net hizi zinapunguza kwa kiasi kikubwa utumiaji wa madawa ya kuua wadudu na inaboresha afya ya mlaji.4. Ukuaji wa zao lako mara tatu zaidi (kwa muda mfupi)
Kuhusu point yako ya ukuaji wa zao k=lako mara tau iwapo utatumia net hizo. Kinachofanya zao lako liote kwa ubora zaidi na haraka haitokani na net unazotumia ila inatokana na mbegu, mbolea na utanzaji wa zao lako na si aina gani ya net unazo
 
Asante biashara,
Hayo maelezo yenyewe nimeayakopi kama yalivyo mahali kwa hata mwenyewe sijui kama ni ya kweli au vipi
Maana wao inaonekana hiyo net ndio ya kufunika kibanda kizima na na hakuna ultraviolent plastic
Nashauri tuendelee na topic ya mkaa tusejeharibu tread yako na vitu vingine visivyo na tija hapa.
 
Kwa atakayenunua mafunzo ya jinsi yaa kujenga greenhouse kwa gharama nafuu hasa kwa anayeishi dar tutamuunganisha na mmiliki wa shamba darasa ili ajionee mwenyewe kuwa unaweza jenga greenhouse kwa gharama nafuuu
 
vp siss ambao tulinunua mwanzoni hicho kitabu cha mafunzo ya green house maana mimi materials nimeshindwa kabisa namna ya kupata na kuijenga hiyo green house wale jamaa wa arusha nimewapigia simu hatukuelewana nikamtuma mtu aende na kaenda na ile page yenye hivo vifaa na bei zake lakn majibu yao yalinikatisha tamaa kwanza walisema hawauzi kidogokdogo hivo..bei walionipa ya vifaa ni tofauti na ile kwwnye kitabu ipo juu sana inarudi kulekule kwwny habar za milions.ndo maana na mm kama nitapata nafasi ya kwenda kuona kwa macho yangu the way hilo banda lilicojengwa atlist naeza nikapata kitu
 
vp siss ambao tulinunua mwanzoni hicho kitabu cha mafunzo ya green house maana mimi materials nimeshindwa kabisa namna ya kupata na kuijenga hiyo green house wale jamaa wa arusha nimewapigia simu hatukuelewana nikamtuma mtu aende na kaenda na ile page yenye hivo vifaa na bei zake lakn majibu yao yalinikatisha tamaa kwanza walisema hawauzi kidogokdogo hivo..bei walionipa ya vifaa ni tofauti na ile kwwnye kitabu ipo juu sana inarudi kulekule kwwny habar za milions.ndo maana na mm kama nitapata nafasi ya kwenda kuona kwa macho yangu the way hilo banda lilicojengwa atlist naeza nikapata kitu

Ni sms then ntakupa mawasiliano yake. Ila nadhani wewe tu hukuelewana nao hao jamaa wa arusha maana sie ndio tunachukuaga vitu kwao. Wao wanauza net zile za kuzungushia pembeni kwa sh elfu moja mia tano kwa sq. meter na plastic zile kwa sh. elfu tatu kwa sq. meter, sasa sijui wewe uliongea na nani maana inajulikana wanauza kidogo kidogo kwa jinsi mahitaji yako yalivyo. Nadhani katika maelezo yako hukujieleza vizuri. Kuna watu humu tayari washaanza ujenzi wa greenhouse zao kwa kununua vifaa vyao kwa hao jamaa wa arusha pale townn
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom