de great
Member
- Jun 19, 2016
- 66
- 31
Lini bro?Tutasepa
Lini bro?Tutasepa
"soon and very soon we are going to see the king"Lini bro?
umeongea logichivi mnaouliza lini mtaenda ?
mnadhani humu mtapata jibu sahihi zaidi ya kudanganywa/ kupotoshwa/ kufarijiwa/ kukatishwa tamaa& kudanganyana????
hiii awamu ya tano mambo hayo ya ajira ni mpaka JPM mwenyewe atoe tamko .
Kwani nani anaenda kwenye ajira???hivi mnaouliza lini mtaenda ?
mnadhani humu mtapata jibu sahihi zaidi ya kudanganywa/ kupotoshwa/ kufarijiwa/ kukatishwa tamaa& kudanganyana????
hiii awamu ya tano mambo hayo ya ajira ni mpaka JPM mwenyewe atoe tamko .
hiyo ni sawa na ajira acha ukichwa mavi maana utalipwa posho serikali itakugharamia chakula kila cku hivyo lazima uwepo uhusiano wa pesa za kutoshaKwani nani anaenda kwenye ajira???
Sifa ya walinzi wawe warefu elimu form four na form six usaili kwa kingerezahao ni walinzi kama walinzi wengine
hahahahaha kibangala cha usalama hichoSifa ya walinzi wawe warefu elimu form four na form six usaili kwa kingereza
Jiongeze tuuu
Akuuu waka sijasema hivyohahahahaha kibangala cha usalama hicho
Hahaha hicho kibogi cha wazee wa suti baba sisi wakati wanakuwa wazee hao walisemaga wanatafuta walinzi wa kampuni mpya ya ulinzi kumbe wazee wa suti hahaha acha madogo wakale shavuAkuuu waka sijasema hivyo
Ukweli mabomba yapo
Liko la gas kutoka kusini hadi bagamoyo
Liko lile kutoka uganda kupitia tanga
Hehehehe uzuri unajua mabomba huwa hayahami
We kweli popopo. Hujui ata kufananisha kujitolea na kuajiliwa. Kama chakula ata wafungwa wanalishwa na serikali wameajiliwa wale?? Pumba kabisaaa....hiyo ni sawa na ajira acha ukichwa mavi maana utalipwa posho serikali itakugharamia chakula kila cku hivyo lazima uwepo uhusiano wa pesa za kutosha
wewe fala k ww wazi mfungwa analipwa posho??? usijione mjuaji wakati ndoo unaanza sisi tumepita huku miaka nenda rudiWe kweli popopo. Hujui ata kufananisha kujitolea na kuajiliwa. Kama chakula ata wafungwa wanalishwa na serikali wameajiliwa wale?? Pumba kabisaaa....
kama unafikri siyo utaratibu wa hela kilicho wachelewesha mlipoti nini huku usaili umeisha ??tumia akili hapa haihitaji degree wala form four kujudge jiongezeWe kweli popopo. Hujui ata kufananisha kujitolea na kuajiliwa. Kama chakula ata wafungwa wanalishwa na serikali wameajiliwa wale?? Pumba kabisaaa....
We boya jobless tu, Huna lolote.wewe fala k ww wazi mfungwa analipwa posho??? usijione mjuaji wakati ndoo unaanza sisi tumepita huku miaka nenda rudi
Watu wanaweka mifumo sawa kwanza lofa wewe....kama unafikri siyo utaratibu wa hela kilicho wachelewesha mlipoti nini huku usaili umeisha ??tumia akili hapa haihitaji degree wala form four kujudge jiongeze
unaelewa maana ya mfumo unapigwa back sizani hata hiyo depo utaimaliza kwa ujuaji huu kuzi ww watakuuwa ninyi ndoo mnasepa na matranker after introWatu wanaweka mifumo sawa kwanza lofa wewe....