moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,085
- 2,889
Hivi umeelewa swali liko wapi ?Mkuu unauliza nn sasa huku ushasema usaili wa walinzi wa gesi anyway wanaweza kua usalama wa taifa
Hivi umeelewa swali liko wapi ?Mkuu unauliza nn sasa huku ushasema usaili wa walinzi wa gesi anyway wanaweza kua usalama wa taifa
Hapana sijaelewaHivi umeelewa swali liko wapi ?
JKT wamekanusha tetesi zote za uvumi kuhusu watu kuanza kuripoti vikosini.. vipi hao wa zanzibar unaosema wana anza kuripoti leo?Ngoja wazanzibari waingie tar 29 then info kamili tutapata j4
Tutafaham keshoJKT wamekanusha tetesi zote za uvumi kuhusu watu kuanza kuripoti vikosini.. vipi hao wa zanzibar unaosema wana anza kuripoti leo?
Endelea kuisikia tu. Utaachiwa uzi uendelee kuisikia zaidi.Harufu ya mwakani naisikia
Jibu zuri sana hilo.Endelea kuisikia tu. Utaachiwa uzi uendelee kuisikia zaidi.
Yani tunakaa mtaani mpk tunachina mwezi wa 9 ndio huoo cjui nao utapita!??Huu ndio uzalendo Sasa tuendelee kusubiri tu mpaka watachoka wenyewe.. Oooh shubwela kaza roho mama raha mbele ipoo. Waziiiiiii
Tarehe tatu wa Mujibu wanamaliza Mzigonliongea na mkufunz yupo mtabira akaxema wakujitolea wataingia wakimalza wa mujibu kati ya tar 7 ndo wanafunga koz
Fara tu HyoJamaa nimjuaji sana sijui anaishije siohapa tu nimeona comment zake sehem tofauti
hahaha mafinga kwa mkisi msalimieNaona mafinga wamekula kiapo Jana. (30th). Neema yaja.
Nkanga inapendeza kuona kwamba umekuwa na majibu ya kawaida. Kuliko all the negativity ulizokuwa unaleta. Hongera mkuu for breaking the ice.hahaha mafinga kwa mkisi msalimie
hahahahaNkanga inapendeza kuona kwamba umekuwa na majibu ya kawaida. Kuliko all the negativity ulizokuwa unaleta. Hongera mkuu for breaking the ice.