LTN USU WA MADOSO
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,193
- 859
kama kawa waziSure mzee , huwa nachungulia chungulia huu Uzi ukiongozwa na Luteni wa demo, nkanga chief na wengineo
kama kawa waziSure mzee , huwa nachungulia chungulia huu Uzi ukiongozwa na Luteni wa demo, nkanga chief na wengineo
Jamani ifungueni hii then mwambie Nkanga chief aache michezo yake...
Cc nkanga chief
Umeitoa wapi hii barua,mbona kwenye website ya utumishi haipoJamani ifungueni hii then mwambie Nkanga chief aache michezo yake...
Nkanga chief is most wanted. Unaenda kukitwa sasa....
we huoni hyo barua ni page 1....ulitakiwa uulize page 2 ikwapi na sio kusema hyo taarifa ni uongo...hiyo barua cyo ya kweli coz haina muhuri wala saini ya mwandishi.
we huoni hyo barua ni page 1....ulitakiwa uulize page 2 ikwapi na sio kusema hyo taarifa ni uongo...[/QUOTE
toka lini barua ikawa na page mbili, eti barua ina namba 1,2,3 Braza usichanganye na watu huyo n Nkanga kaamua kubadili umbo na kuggbu hata sekretarieti ya ajira ilitangazo halipo.
Huyu kijana niatari sana kwa kujibadili maumbo.Hahahahah labda kweli nkanga huyo
Hii taarifa ya wauguzi source yake mkuu. Maana inatisha..shidah ya mleta uzi wa mara ya kwanza ambaye n Nkanga aliweka muda karibu sana et february so akaona aje atengue kauli yake coz mambo ni hadi june baada ya budget
My take Serikali haina pesa hadi kupelekea wauguzi kugoma kutokana na kutolipwa mishahara yao mienzi miwili
Mkuuu had Leo bado unataka matumaini!!!chakufanya fanya ya kufanya maana humu hakuna Mwenye jibu...ukiona analo basi sio habari tena kwamaana hata wewe utakua ushajua.ushauri Kula,kazi,pumzika.wanajukwaa mwenye ronja mambo yataipa lini maana dah
walitangaza kwenye taarifa ya habari wauguzi wa mkoani tanga waligoma hawajalipwa hela zaoHii taarifa ya wauguzi source yake mkuu. Maana inatisha..