Mafunzo kwenye maisha: Kupata ni majaliwa haimaanishi wewe ni bora kuliko mwingine

Great YHC

Senior Member
Jan 1, 2024
167
596
Hii ni experience ya maisha YANGU. Tahadhari nisinukuliwe vibaya kwa kupingana mawazo.

Imani, utamaduni uliyojengeka katika nchi yetu. Kupata ni majaliwa haimanishi wewe bora kuliko wengine.

Usimdharau mtu. Leo unayemuona hafai kesho anafaa. Amini kwenye UWEZO wako, mchakato kutoka hatua moja kwenda nyingine, jifunze kila siku. Hakuna Mungu, binadamu, uchawi au mwanasiasa atakayekusaidiwa wewe.

Kupata au kukosa ni suala la muda tu hivyo subira iwe kubwa.

Asilimia 99.9 matatizo yanayotukumbuka hutokana na mwenendo mbaya wa tabia yetu. Kuweka matumaini sehemu ambapo pemekukataa ni matumizi mabaya ya muda.

Mungu pia anasifa ya ubaguzi kuna bidamu kawapendelea wengine kawanyima, kuna WATU wanamwanzo mgumu kwenye kujitafuta, kuna watu wamezaliwa vilema yatima hawakupenda kuwa ivyo.
 
Maisha ni kama kutafuta switch kwenye chumba kilicho gizani ukizipata Tu unapata mwanga...!!!
Wengine huzaliwa tu na kuwashiwa switch bila hata kutafuta,
wengine huzaliwa switch ipo jirani na mikono yao, wengine mpaka wa struggle, na wengine mpaka wanakufa unakuta hawajafanikiwa kupata switch.
 
Hii ni experience ya maisha YANGU.
Tahadhari nisinukuliwe vibaya kwa kupingana mawazo.

Imani, utamaduni uliyojengeka katika nchi yetu.

Kupata ni majaliwa haimanishi wewe Bora kuliko wengine.

Usimdharau Mtu, Leo unayemuona hafai kesho anafaa.

Amini kwenye UWEZO wako, mchakato Kutoka hatua Moja KWENDA nyingine, jifunze kila siku.
Hakuna Mungu, binadamu, uchawi au mwanasiasa atakayekusaidiwa wewe.

Kupata au kukosa ni suala la muda TU hivyo subira IWE Kubwa.

Asilimia 99.9 matatizo yanayotukumbuka hutokana na mwenendo mbaya wa tabia yetu.
Kuweka matumaini sehemu ambapo pemekukataa ni matumizi mabaya ya muda.

Mungu pia anasifa ya ubaguzi kuna bidamu kawapendelea wengine kawanyima, kuna WATU wanamwanzo mgumu kwenye kujitafuta , kuna Watu wamezaliwa vilema yatima hawakupenda kuwa ivyo
maisha yanakuwa magumu sana hasa unapotokea kwenye unpriffileged family
hakuna rangi utaacha kuona

Unaweza ukawa unasali sana, lakini kwa namna moja au nyingine unakuta siyo mkamilifu au pia hujui hata namna ya kuomba
 
ili swala mfano tosha kuna bosi mmoja serikalini alimnyanyasa sana jamaa ambaye field ila mwisho wa siku huyo kijana kawa bosi na bosi kawa mtu wa chini kwake
 
Kuna Watu mamefanikiwa hawamjui Mungu , wengine wanaongoza kumtukana Mungu ila wew unaomba ukikosea kuomba hujibiwi Kisa nimekosea kuomba
Kuna mungu wengi ujue, mi naongelea Mungu wa mbinguni
Kuna nguvu mbili tu duniani, Mungu na shetani na watu wote tumeganyika katika hizi nguvu mbili
kama humtaki Mungu automatic upo upande mwingine, unaweza ukawa husali kwa Mungu lakini kwa matendo yako fulanifulani unasali kwa shetani hata bila ya wewe kujua
cc mshanajr
 
Mungu pia anasifa ya ubaguzi kuna bidamu kawapendelea wengine kawanyima, kuna WATU wanamwanzo mgumu kwenye kujitafuta, kuna watu wamezaliwa vilema yatima hawakupenda kuwa ivyo.[/QUOTE]

UMEPUYANGA HAPA
 
UMEPUYANGA HAPA


MUNGU HANA UBAGUZI HATA VILEMA HUJUA JINSI ANAVYO WALIWAZA NA KUWAPA RIZIKI ZAO,,

HATA VILEMA WAKIWAONA WAGONJWA WALIO MAHUTUTI HOSPITALINI CHAKULA KINAPITISHWA KWA MIRIJA NAO WANASEMA BORA NA SISI

NDIO MAANA KUNA VILEMA WANAKULA VIZURI KULIKO HATA WENYE MIGUU NA VIUNGO VYOTE.

MAANA KUNA MWINGINE ANA VIUNGO VYOTE ILA MAISHA YAKE NI HERI NA YA VILEMA.

NDIO MAANA WEWE MZIMA PIA KUNA WAGONJWA,,

WAGONJWA WANAPONA WALIO KUWA WAZIMA WANAUGUA HIVYO TU HAKUNA CHA UPENDELEO

VILEMA WANAISHI WAZIMA NA WENYE MALI WANAKUFA

DUNIANI HUMU NI MSALA NIISHIE HAPA TU
 
Hii ni experience ya maisha YANGU. Tahadhari nisinukuliwe vibaya kwa kupingana mawazo.

Imani, utamaduni uliyojengeka katika nchi yetu. Kupata ni majaliwa haimanishi wewe bora kuliko wengine.

Usimdharau mtu. Leo unayemuona hafai kesho anafaa. Amini kwenye UWEZO wako, mchakato kutoka hatua moja kwenda nyingine, jifunze kila siku. Hakuna Mungu, binadamu, uchawi au mwanasiasa atakayekusaidiwa wewe.

Kupata au kukosa ni suala la muda tu hivyo subira iwe kubwa.

Asilimia 99.9 matatizo yanayotukumbuka hutokana na mwenendo mbaya wa tabia yetu. Kuweka matumaini sehemu ambapo pemekukataa ni matumizi mabaya ya muda.

Mungu pia anasifa ya ubaguzi kuna bidamu kawapendelea wengine kawanyima, kuna WATU wanamwanzo mgumu kwenye kujitafuta, kuna watu wamezaliwa vilema yatima hawakupenda kuwa ivyo.
Usisahau na Kauzibe wanadamu wa kuzibia wenzao wapo kila kona wanakuzibia tu ili mradi hawapati faida furaha yao wewe ukionekana haufanikiwi hio ndio furaha yao na neno lao kubwa ni 'kiko wapi?'
 
Back
Top Bottom