Je ni dawa zipi za asili mtu anaweza tumia kutibu mafua ya kuku???
mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji naomba msada kwa anae jua dawa ya mafua ya kuku.
Majani Ya Mwembe unachemsha kwenye maji lita 6 inachemka hadi ibakie lita 1.
Nimeelimika hata mimiChangany malimao mawili, tangawiZI kubwa kiasi kwa maji lita tano. Wape hata daily haina shida.
Majani utakayochemsha yajae viganja vyot viwili vya mikono...hicho ndo kipimoMkuu naomba msaada, Majani ya muembe kiasi gani (kilo ngapi?) yatachemshwa kwenye hizo lita sita za maji.
Piriton tano unachanganya na maji kiasi gani? Na wanakunywa kwa siku ngapi?Wayeyushie piriton 5 kwisha kazi subiri msimu mwingine wa ugonjwa
semePiriton tano unachanganya na maji kiasi gani? Na wanakunywa kwa siku ngapi?