Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,783
- 819
Wakuu, mna habari kwamba mafisadi wameficha fedha kwenye m-pesa za watz wote? Sema tu wamezipiga pini hazichukuliki wala kuhamishika. Ni substancial amount, laki 8, 7, sita n.k. mpaka bank accounts updating itakapomalizika watazirudisha kwenye original a/c.