Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mheshimiwa pale tunapoona mambo hayaendi sawa tutapiga kelele na kukosoa kwasababu sisi ndio wananchi na ndio unaotutumikia. Lakini pale unapofanya vyema tuna hiari ya kusifia au kukaa kimya. Kwasababu umetimiza vyema wajibu wako.
Kwahiyo sio lazima wananchi tusifie pale unapofanya vyema kwasababu haina maana ila unapokosea tutakosoa na kupiga kelele ili parekebishwe na hii ni haki yetu kikatiba.

NB: Tunaomba Mheshimiwa wetu mwema na unayejipambanua kwa HapaKaziTu tushirikiane katika kuchapa kazi na kutimiza wajibu.
 
Tanzania ni nchi iliyopita katika uchaguzi mwaka Jana, pia Marekani watakuwa na uchaguzi mwaka huu, chama tawala CCM kilimsimamisha mgombea ambaye ana sifa baadhi zinazofanana na za mgombea wa Marekani.

1. Wanausema ukweli hawajali kama ukweli uo unaweza punguza idadi ya kura zao, mfano Magufuli amekuwa akiendelea kutoa kauli kali bila kujari kama hawa watampigia kura tena baadae.

2. Magufuli kajitoa kufia nchi yake kama ambavyo Trump kajitoa kuwasaidia wamarekani na kuifanya America kuwa na jina kubwa tens.

3. Maamuzi na maono yao yanafanana kwa mbali, mfano Magufuli yuko tayari kuwabomoa wanaomkwamisha kuleta maendeleo ya wananchi, na misimamo yake watu legelege wanaweza kuichukia, vile vile Trump ana mtazamo kama Magufuli kwa wanaoonekana kukwamisha maendeleo ya wamarekani.

TOFAUTI ZAO
1. Magufuli siyo dictator kama ambavyo anaonekana Trump atakuwa dictator.
2. Magufuli ana elimu kubwa kulinganisha na Trump.
3. Magufuli si mfanyabiashara kama Trump.
4. Magufuli ni mjamaa na maskini si kama Trump ni mbepari na tajiri.
 
Tanzania ni nchi iliyopita katika uchaguzi mwaka Jana, pia Marekani watakuwa na uchaguzi mwaka huu, chama tawala CCM kilimsimamisha mgombea ambaye ana sifa baadhi zinazofanana na za mgombea wa Marekani.

1. Wanausema ukweli hawajali kama ukweli uo unaweza punguza idadi ya kura zao, mfano Magufuli amekuwa akiendelea kutoa kauli kali bila kujari kama hawa watampigia kura tena baadae.

2. Magufuli kajitoa kufia nchi yake kama ambavyo Trump kajitoa kuwasaidia wamarekani na kuifanya America kuwa na jina kubwa tens.

3. Maamuzi na maono yao yanafanana kwa mbali, mfano Magufuli yuko tayari kuwabomoa wanaomkwamisha kuleta maendeleo ya wananchi, na misimamo yake watu legelege wanaweza kuichukia, vile vile Trump ana mtazamo kama Magufuli kwa wanaoonekana kukwamisha maendeleo ya wamarekani.

TOFAUTI ZAO
1. Magufuli siyo dictator kama ambavyo anaonekana Trump atakuwa dictator.
2. Magufuli ana elimu kubwa kulinganisha na Trump.
3. Magufuli si mfanyabiashara kama Trump.
4. Magufuli ni mjamaa na maskini si kama Trump ni mbepari na tajiri.
Magufuri = Magufuli
 
britanicca
post: 16380105 said:
TOFAUTI ZAO:
1. Magufuli siyo dictator kama ambavyo anaonekana Trump atakuwa dictator.
[COLOR=yellow.]2. Magufuli ana elimu kubwa kulinganisha na Trump.[/COLOR]
3. Magufuli si mfanyabiashara kama Trump.
4. Magufuli ni mjamaa na maskini si kama Trump ni mbepari na tajiri.
Hiyo namba 3 hebu naomba uoanishe elimu zao hapa ndipo tuendelee...
 
Yuko vizuri of course though it' too early to judge but if he will keep maintaining this speed; after few years to come we will have stepped to somewhere
 
Nakupongeza sana kurudisha heshima ya Elimu na Wasomi. Hujakosea kumchagua Ndalichako kwenye wizara hiyo muhimu. Usikatishwe tamaa na maneno ya vilaza. Simama Imara. Safisha kila mahali. Elimu kwa kipindi kirefu imekuwa ni kama mchezo, watu hawapo serious, wanafanya mambo vile wanataka, ukiwa na pesa unanunua tu elimu. Na Kule Bungeni itafutwe namna wabunge vilaza wasiwe na nafasi kabisa, sababu hawana mchango wowote zaidi ya kutoa mipasho bungeni kama waimba taarabu, ishu za msingi hawawezi kuchangia, wanakula tu pesa za wananchi. Na kwenye hili ukweli ni kwamba wabunge wengi ni wale wa chama chako. SAFISHA SAFISHA BABA. Ila naomba pale panapohitaji busara tumia busara ili wananchi wasikwazike.
 
Mi si mpenzi wa CCM na ninatamani sana mageuzi makubwa ya kimfumo kwenye siasa za nchi yetu hasa Katiba mpya.

Hata hivyo baada ya Katiba ya Warioba kuwekwa pembeni sikuwahi kufikiria tena kama nitakuja kumwona kiongozi wa watu sembuse Katiba mpya inayokubalika kwa makundi yote ya kisiasa.

Ila zawadi tuliyopata ya Rais J.P. Magufuli ni wazi hakuna aliyetarajia kutoka kwake kwa yote anayoyafanya.

Kwa msomi wa kweli wa Sayansi ya Siasa, atakubali kuwa kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na Chama chake katika baadhi ya mambo likiwemo la uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar, ni wazi ndicho kitu muhimu sana kumpima Rais huyo.

Tumpime Rais wetu kwa mipango yake na lengo (intention) yake anachokifanya na si kukimbilia kuangalia kaishu kamoja na kuconclude bila kutumia syllogism. Hutapata Rais anayejiamini katika Bara la Afrika kama siyo benevolent. Kwa nchi yetu tulipokuwa tumefikia, ni bora kuwa na benevolent dictator than otherwise.
 
Mi si mpenzi wa CCM na ninatamani sana mageuzi makubwa ya kimfumo kwenye siasa za nchi yetu hasa Katiba mpya. Hata hivyo baada ya Katiba ya Warioba kuwekwa pembeni sikuwahi kufikiria tena kama nitakuja kumwona kiongozi wa watu sembuse Katiba mpya inayokubalika kwa makundi yote ya kisiasa. Ila zawadi tuliyopata ya Rais J.P. Magufuli ni wazi hakuna aliyetarajia kutoka kwake kwa yote anayoyafanya. Kwa msomi wa kweli wa Sayansi ya Siasa, atakubali kuwa kitendo cha Rais Magufuli kutokubaliana na Chama chake katika baadhi ya mambo likiwemo la uchaguzi wa meya wa Jiji la Dar, ni wazi ndicho kitu muhimu sana kumpima Rais huyo. Tumpime Rais wetu kwa mipango yake na lengo (intention) ya ke anachokifanya na si kukimbilia kuangalia kaishu kamoja na kuconclude bila kutumia syllogism. Hutapata Rais anayejiamini katika Bara la Afrika kama siyo benevolent. Kwa nchi yetu tulipokuwa tumefikia, ni bora kuwa na benevolent dictator than otherwise.
rais anatekeleza majukumu yake, hakuna lililo la ajabu,
 
rais anatekeleza majukumu yake, hakuna lililo la ajabu,
Ni kweli anatekeleza wajibu wake lakini jinsi watu wanavyomshambulia hawafanyi fair kabisa. Kwani sisi kama Taifa, the issue of the day ni nini lakini - maadili ama lugha nzuri ya kuwafurahisha wakwepa kodi ili wasitupandishie bidhaa muhimu kama sukari? Ngoja watatuchaka sana wenzetu tunaposhindwa kumtia moyo Rais wa aina ya Magufuli ambaye anawaumiza vichwa mafisadi walio ndani ya Chama chake. Tutagutuka wakati it is 2 late.
 
Unamzungumzia Magufuli yupi? au baba Jesca alolipenyeza ni kilaza lake pale UDOM? na kutuharibia uchumi! watu wenye biashara tumefunga na hata sukari imemshinda kupambana nayo! a total failure
 
Kwa kawaida inadaiwa kuwa sisi waafrika sifa kuu ya mwanaume kwa mke wake si kumwambia ukweli ila kumridhisha kwa njia yoyote ila kuwa una uwezo wa kutatua shida yake. Ndiyo maana utakuta ana wake hata watatu huku wote akiwa amewaoa kwa kuwadanganya (ooohh kwetu kuna hiki ama hiki - wakati ni uongo) lakini wakikubali kuolewa imekula kwao. Hatutaki katika dunia ya sasa kuliwazwa kwa maneno matamu a pombe ili kuahirisha matatizo yetu yanayochungulia mlangoni muda wote. Tuambizane ukweli kuwa tatizo ni hili ama lile. Tuache kusingizia umbumbu wetu darasani wetu pia kwa wenzetu. Tujitafakari wenyeyewe kwanza.
 
Back
Top Bottom