george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,277
- 1,942
Ushawai jiuliza kwanini hufanikiwi?, Ushawai jiuliza nafanya Kila biashara na pia nashindwa fanikiwa?
Nakujuza kitu ukihitaji kufanikiwa, Cha kwanza lazima ujue nini maana ya mafanikio , lakini pia unatakiwa ujue unasimamia mlango upi ?
Kuna milango miwili tu, Giza na Nuru ,
Kuna rafiki yg ni mchungaji alishawai niambia nikihitaji kufanikiwa nichague kati ya MUNGU AU shetani ,
Vijana wengi ndio tunaposhindwa , Leo hii angalia walioamua kuchagua njia wao wanafanikiwa Kila siku ,
Leo nawafunda kitu ambacho hutokuja kufundishwa kwingine , je wajua mafanikio ni sawa na sahani iliojaa Kila uchafu
Je wajua ni kwanini wasanii wengi hufanya mambo yanayoendana na ushoga ? , Je wajua ni kwa nini huvaa mapete mengi yenye arama za mafuvu , je wajua ni kwa nini wimbi la wasanii hufanya mapenzi na kulekodi tendo na kuachia hewani ?
Je wajua ni kwanini wasanii wengine hua wanasafili mala nyingi nchi za ulaya mala nyingi zaidi unajua wanafata nini ? , Sio show tu ndugu watu wanaenda kufanyia aibu zao mbali hukoo wasijulikane ,
Sitowaibia Siri nyingine , but mimi ni mdau wa mziki pia Nina msanii wg ambae Ninamsimamia na katoa nyimbo nyingi sana Tena kalii kuliko wasanii unaowasikia , ila Sasa kwenye kutafuta tobo hapo ndio nilijua DUNIA ikoje , we endelea kula ugari dagaa siku ziende tu na siku ya kufa ifike uzikwe na ndoto zko kaburini
Naludia Tena DUNIA NI SAHANI ILIOJAA KILA UCHAFU UNAWEZA KUJIKUTA HUPO KWENYE SAHANI HIO
Nakujuza kitu ukihitaji kufanikiwa, Cha kwanza lazima ujue nini maana ya mafanikio , lakini pia unatakiwa ujue unasimamia mlango upi ?
Kuna milango miwili tu, Giza na Nuru ,
Kuna rafiki yg ni mchungaji alishawai niambia nikihitaji kufanikiwa nichague kati ya MUNGU AU shetani ,
Vijana wengi ndio tunaposhindwa , Leo hii angalia walioamua kuchagua njia wao wanafanikiwa Kila siku ,
Leo nawafunda kitu ambacho hutokuja kufundishwa kwingine , je wajua mafanikio ni sawa na sahani iliojaa Kila uchafu
Je wajua ni kwanini wasanii wengi hufanya mambo yanayoendana na ushoga ? , Je wajua ni kwa nini huvaa mapete mengi yenye arama za mafuvu , je wajua ni kwa nini wimbi la wasanii hufanya mapenzi na kulekodi tendo na kuachia hewani ?
Je wajua ni kwanini wasanii wengine hua wanasafili mala nyingi nchi za ulaya mala nyingi zaidi unajua wanafata nini ? , Sio show tu ndugu watu wanaenda kufanyia aibu zao mbali hukoo wasijulikane ,
Sitowaibia Siri nyingine , but mimi ni mdau wa mziki pia Nina msanii wg ambae Ninamsimamia na katoa nyimbo nyingi sana Tena kalii kuliko wasanii unaowasikia , ila Sasa kwenye kutafuta tobo hapo ndio nilijua DUNIA ikoje , we endelea kula ugari dagaa siku ziende tu na siku ya kufa ifike uzikwe na ndoto zko kaburini
Naludia Tena DUNIA NI SAHANI ILIOJAA KILA UCHAFU UNAWEZA KUJIKUTA HUPO KWENYE SAHANI HIO