Kwa niaba ya M/kiti wa CDM Wilaya ya Njombe (mkoa mpya wa Njombe) napenda kuwafahamisha wapenda mabadiliko wote hasa wapenzi, wanachama, mashabiki wa CDM na wananchi kwa ujumla kwamba tunaendelea vizuri na kazi ya kusambaza moto wa mabadliko kama yalivyoasisiwa na Mh Thomas Nyimbo.
Wale wenye kumbukumbu mtakumbuka kuna siku nilileta hapa mada inayoeleza jinsi Mh. Nyimbo alivyojitolea kwa hali na mali kuwasha moto wa mabadiliko. Kwa hakika tumefanikiwa sana kwa ngazi ya jimbo la Njombe Magharibi na sasa tumeunganisha juhudi na Majimbo mengine ya Njombe kusin na Kaskazini. Kuanzia mwezi wa pili (Februari) tunatarajia kuwasha moto kuelekea LUDEWA na MAKETE kwa msaada mkubwa wa Mh. Nyimbo ili hatimaye mkoa wa Njombe uwe na nguvu kama ile ya Mwanza, Mbeya, Iringa, Arusha na Kilimanjaro.
OMBI MAALUM
Kama yupo mwanaJF anaweza kutusaidia contacts za mtu yeyote wa Makete na Ludewa tunaomba tafadhali sana atusaidie kabla ya Jumapili ya wiki hii ili tuwasiliane naye mapema iwezekanavyo. Tumefikia hatua hii baada ya jitihada zetu kuelekea kukwama. Tafadhali kama unayo namba ya mtu au watu au wewe mwenyewe tujulishe kupitia 0789149165 (M/Kiti CDM Njombe (W) au mgosa81@yahoo.com.
Tunawashukuru sana kwa support yenu
Hakuna kulala.........
Posted by Kiongozi
Wale wenye kumbukumbu mtakumbuka kuna siku nilileta hapa mada inayoeleza jinsi Mh. Nyimbo alivyojitolea kwa hali na mali kuwasha moto wa mabadiliko. Kwa hakika tumefanikiwa sana kwa ngazi ya jimbo la Njombe Magharibi na sasa tumeunganisha juhudi na Majimbo mengine ya Njombe kusin na Kaskazini. Kuanzia mwezi wa pili (Februari) tunatarajia kuwasha moto kuelekea LUDEWA na MAKETE kwa msaada mkubwa wa Mh. Nyimbo ili hatimaye mkoa wa Njombe uwe na nguvu kama ile ya Mwanza, Mbeya, Iringa, Arusha na Kilimanjaro.
OMBI MAALUM
Kama yupo mwanaJF anaweza kutusaidia contacts za mtu yeyote wa Makete na Ludewa tunaomba tafadhali sana atusaidie kabla ya Jumapili ya wiki hii ili tuwasiliane naye mapema iwezekanavyo. Tumefikia hatua hii baada ya jitihada zetu kuelekea kukwama. Tafadhali kama unayo namba ya mtu au watu au wewe mwenyewe tujulishe kupitia 0789149165 (M/Kiti CDM Njombe (W) au mgosa81@yahoo.com.
Tunawashukuru sana kwa support yenu
Hakuna kulala.........
Posted by Kiongozi