Sugu ni kamanda na ni mfalme pia waache chuki binafsi
A Form Four leaver...
Once a drug dealer...
Who committed countless crimes..
Accidentally became an MP......
How on earth.......
Is he hailed as a KING?
Perhaps the word king.....
Has many denotations.......
A Form Four leaver...
Once a drug dealer...
Who committed countless crimes..
Accidentally became an MP......
How on earth.......
Is he hailed as a KING?
Perhaps the word king.....
Has many denotations.......
Watu makini ndo wepi hao? mbona hatukuwaona wakati wa vita ya wanambeya na polisi pale Mwanjelwa. Mpesya alifanya nini mpaka hao watu wako makini (kama wapo) wajute. kwa nini hawakumwita kwenye vile vita? alikuwa wapi, hata sura yake hatukuiona.Radhia Sugu is a psycopathy, anafurahisha watu wa vijiweni tu na wala hayuko makini na maendeleo ya jimbo lake. Najua CDM mkoa wana andaa mtu mwingine kwa vile ukiongea na watu makini hapa Mbeya wana regret kwa hasira zao walizompigia kura za chuki mbunge wa zamani kutoka CCM Mpesya.
A Form Four leaver...
Once a drug dealer...
Who committed countless crimes..
Accidentally became an MP......
How on earth.......
Is he hailed as a KING?
Perhaps the word king.....
Has many denotations.......
Ndugu,
Nimetamani nisiandike chochote kwani 'Escobar' na ' Dawaya Mjinga' wamemaliza kila kitu. Baadhi wana elimu ya kutosha lakinihaiwasaidii kama wewe Radhia Sweety kwa sababu umeshindwa kutofautisha masuala.Sugu sio mtu wa kwanza na wala hawezi kuwa mtu wa mwisho kuwa na elimu yakidato cha nne (sijui elimu yake), Kama anajiushisha na madawa ya kulevya (sijui)ni suala la polisi .... wataarifu wamkamate na ubunge wake (Mh) aliupata kwakuchaguliwa na sio kwa bahati mbaya kama unavyodhani. Phd yako (Radhia)inakusaidia?
Nakutaka ujibu hoja hizi (omba radhi) zilizoelekezwakwako ili kulinda heshima yako. Licha ya kutoka kwenye hoja lakini ni vizurikujiheshimu
Anaweza kuwa alichaguliwa kwa bahati mbaya pia.
Jaribu na wewe kama unaona watu wanachaguliwa kwa bahati mbaya