Maelezo binafsi ya mgombea wa CCM jimbo la Igunga Dk. Kafumu

<b>UZOEFU CCM</b><br />
*Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa TANU (TYL) tawi la Itumba (1971-1972)<br />
*Mjumbe wa Kamati ya Siasa na Halmashauri Kuu ya Tawi la CCM, Madini (1983-1992).<br />
*Mjumbe wa Mkutno Mkuu wa Wilaya na mkoa wa Dodoma (1983-1992).<br />
*Katibu wa Tawi la CCM, Madini Dodoma (1988-2011).<br />
*<font color="#FF0000">Kada wa CCM (1988-2011).</font><br />
<br />
Nilini watumishi wa serikali walirudi kuwa makada wa chama?<br />
Hivi hatuna tena suala la mtumishi wa umma kuwa neutral?<br />
TUMEKWISHENI!!!!!
<br />
<br />
Na mimi nimejiuliza sana hl swali..alafu yuko too general,hajawafanyia lolote wana Igunga..yale alyofanya kama mtumish wa umma anajarbu buya-localize..mpumbav mtupu,tena Kamishna wa madini ndo wizi mtupu..
 
Hakuna cha uprofesa wala udaktari hapa. Tunachotaka niuwezo wa kuongoza kwani hakuna uhusiano wowote kati ya elimu kubwa kiasi hicho na uwezo wa kuongoza. Sio mnakuja kunadi elimu zenu kubwa hapa halafu tukisha wachagua mnaishia kwenda kulala bungeni. Wizi mtupu!
 
Nimeamini kumbe akili za wanamagamba aliondoka nazo "mwalimu"na leo laana inawatesa.Haitusaidii kutuonyesha Cv yako ndefu wakati sekta unayoiongoza imeoza.Ukombozi wa Wanaigunga Coming soon!
 
Mimi Dr kafumu naomba unisaidie kumention shule/ vyuo ulivyosomea kwani kuandika shahada, stashahada, mara uzamili bila kusema ulisomea wapi hiyo sio CV labda ni story kuhusu wewe. Lingine pengine mimi sifahamu uzuri kati ya advance diploma na post graduate diploma zote kwa kiswahili tunaziita Stashahada?
<br />
<br />
Advanced diploma inaitwa stashahada ya juu na post graduate diploma inaitwa stashahada ya juu ya pili, diploma inaitwa stashahada.
 
Kama wewe ni mtaalamu kwa nini unaingia kweny SIASA uchwara,
badala ya kutumia utaalamu wako kuwaletea maendeleo waTZ?
@#&*^%($@^
 
Nimesimamia marekebisho ya sheria ya Madini ya mwaka 1998 ili kupata sheria ya mwaka 2010. Sheria mpya inahakikisha kwamba:-
(i) Serikali na Wananchi wanashiriki zaidi katika uwekezaji madini kwa kupata hisa kwenye migodi.
(ii) Wananchi wanaoishi kwenye maeneo ya migodi wanafidiwa vizuri, kujengewa makazi mazuri na kushiriki kwenye mradi husika.
(iii) Kampuni kulipa kodi na mrahaba kwa viwango vya juu zaidi.
(iv) Wachimbaji wadogo wanatengewa maeneo yao, kupewa leseni zenye muda mrefu ili waweze kupata mitaji kutoka kwenye taasisi za fedha;na
(v) Viwanda vya uongezaji thamani ya madini vinajengwa hapa nchini ili kuongeza ajira na kukuza uchuni; na
(vi)Madini ya vito (Almasi, Tanzanite, Ruby na mengineyo) yanachimbwa na Watanzania tu.
Maelezo matamu kweli. Kama hivi ingekuwa ndivyo ilivyo, basi watu wetu wasingekuwa maskini kiasi hicho. Na nchi yetu ingekuwa imeendlea sana kupitia madini tuliyojaliwa na Mwenyezi Mungu. But I dare say, the red quotes do not exist in this blessed but corrupt country.
 
Duh mkuu Kafumu umetishaje, yaani kwa CV hiyo unapata kura kiulainiii kama unanawaaa. Sasa ngoja tuone CV ya mgombea wa MAGWANDA, yaani haifiki hata robo ya ukurasa.

Sawa maskini wa mawazo yenye mshiko...na tajiri wa mawazo uharo/upupu/masaburi.............
 
Elimu ni moja kati ya vigezo muhimu,lakini zaidi uadilifu na dhamira ya dhati ya kuwatumikia wananchi wa jimbo lake na Tz kwa ujumla. Kwani tumeshuhudia wasomi we cv nzito bila dhamira ya dhati kutumikia taifa kwa manufaa ya nchi na watu wake wakiliingiza taifa ktk mikataba mibovo, epa,n.k. Hivyo ni vyema kuwapima wagombea ktk upana mkubwa zaidi,bila kusahau vigezo vingine muhimu zaidi, kama uadilifu,utendaji, dhamira ya kweli ya kuwatumikia wananchi na sio kutumikiwa,kama wagombea wengi wanavyo fanya wakiisha chaguliwa. Kazi kwenu wana igunga kuchagua kiongozi atakaye wafaa ninyi ndio muna wafaamu vema wagombea wenu kuliko mtu asiyekuwa igunga, tumieni vyema nafasi mliyonayo kuchagua mtu atakaye waafa kwa kuwatumikia ktk uwakilishi mnao uhitaji.
 
Duh mkuu Kafumu umetishaje, yaani kwa CV hiyo unapata kura kiulainiii kama unanawaaa. Sasa ngoja tuone CV ya mgombea wa MAGWANDA, yaani haifiki hata robo ya ukurasa.
<br /> Siamini baada ya miaka 50 ya uhuru kama kutakuwa na watu wenye fikra mbovu kama hii CV hii inajenga au inabomoa taifa,amegundua machimbo mengi ya madini lakini huoni hayo kuwa madini sasa yanachimbwa na wageni? bora asingegundua ili watoto wafaidi.
 
<span style="font-family: Courier New"><font size="4">Nimesimamia marekebisho ya sheria ya Madini ya mwaka 1998 ili kupata sheria ya mwaka 2010. Sheria mpya inahakikisha kwamba:-<br />
<font color="#FF0000">(i) Serikali na Wananchi wanashiriki zaidi katika uwekezaji madini kwa kupata hisa kwenye migodi. <br />
(ii) Wananchi wanaoishi kwenye maeneo ya migodi wanafidiwa vizuri, kujengewa makazi mazuri na kushiriki kwenye mradi husika.<br />
(iii) Kampuni kulipa kodi na mrahaba kwa viwango vya juu zaidi.<br />
(iv) Wachimbaji wadogo wanatengewa maeneo yao, kupewa leseni zenye muda mrefu ili waweze kupata mitaji kutoka kwenye taasisi za fedha;na<br />
(v) Viwanda vya uongezaji thamani ya madini vinajengwa hapa nchini ili kuongeza ajira na kukuza uchuni; na<br />
(vi)Madini ya vito (Almasi, Tanzanite, Ruby na mengineyo) yanachimbwa na Watanzania tu.<br />
</font>Maelezo matamu kweli. Kama hivi ingekuwa ndivyo ilivyo, basi watu wetu wasingekuwa maskini kiasi hicho. Na nchi yetu ingekuwa imeendlea sana kupitia madini tuliyojaliwa na Mwenyezi Mungu. But I dare say, the red quotes do not exist in this blessed but corrupt country. </font></span>
<br />
<br />
mkuu kaka hii CV ni kejeli tosha kwa Tanzania
 
Jamani kama kweli huy Dr. anapenda kuwakilisha watu mjengoni, asubiri 2015 akagombee kahama au Geita kwenye madini na migogoro ya madini atumie taaluma yake kuwasaidia watu hapo hanajipya.Hakika akinyakua jimbo la Igunga mm nagoma kula maisha yangu yote yaliyobaki.
 
Huu ni wasifu wa Dr Kafumu. Hapo kwenye red panatia shaka kwa mustakabali wa wana Igunga ambao sio waislamu


JINA: Dk. Dalaly Peter Kafumu
KUZALIWA: Agosti 4, 1957
MAHALI: Kijiji cha Itumba, Tarafa ya Igunga Wilaya ya Igunga mkoani Tabora.
NDOA: Nina mke na watoto watano ambao kati yao watatu ni Madaktari wa binadamu, wengine wawili bado wanasomea Udaktari wa Binadamu na mmoja anasoma Stashahada ya Ufamasia.


ELIMU:

*Shahada ya kwanza ya Madini- BSc (Geology)-1983
*Stashahada ya Elimu-PGD (Education)-1987
*Shahada ya Uzamili ya Madini-BSc (Geology)-1995
*Stashahada ya Utafutaji Madini-PGD (Mineral Exploration)-1991
* Sahahada ya Uzamivu ya Madini-Ph.D (Geology)-2000

UZOEFU CCM
*Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa TANU (TYL) tawi la Itumba (1971-1972)
*Mjumbe wa Kamati ya Siasa na Halmashauri Kuu ya Tawi la CCM, Madini (1983-1992).
*Mjumbe wa Mkutno Mkuu wa Wilaya na mkoa wa Dodoma (1983-1992).
*Katibu wa Tawi la CCM, Madini Dodoma (1988-2011).
*Kada wa CCM (1988-2011).


HII imekaaje?
 
Duh mkuu Kafumu umetishaje, yaani kwa CV hiyo unapata kura kiulainiii kama unanawaaa. Sasa ngoja tuone CV ya mgombea wa MAGWANDA, yaani haifiki hata robo ya ukurasa.

Mbona unazungumzia mgombea wa chadema peke yake wakati kuna wagombea wengine wa4 au wa Chadema ni tishio kwenu?
 
Au anapigiwa chabo ya kuchukua nafasi ya huyu wa sasa anayeongoza hii wizara inayotulaza giza kila siku? CV kwa kweli ina heshima yake, tatizo naliona ni chama anachokitumikia.
 
Au anapigiwa chabo ya kuchukua nafasi ya huyu wa sasa anayeongoza hii wizara inayotulaza giza kila siku? CV kwa kweli ina heshima yake, tatizo naliona ni chama anachokitumikia.

Hata wizara yake imechemsha nadhani hata yeye atachemsha tu!
 
Matahahila wengi sana Tanzania....Hakuna Relationship ya CV kuwa ndefu na Uogozi bora! Viongozi wengi walio bora wana CV za kawaida tu! Profession work na Misaada siyo Uongozi bora! He might have been a good manager..but not necessarily a good leader!
 
Inaonekana huyu daktari hana umakini kama kilivyo chama cha magamba, kasema ana watoto watano angalia sasa mchanganuo wa fani zao unachogundua anazungumzia watoto sita wapi usomi wake?
 
Kama CV ina-matter basi Prof Lipumba leo hii angekuwa Rais wa Tanzania, maana 10% ya CV yake ndiyo aliyonayo JK. Kwa kushinda uchaguzi, Kafumu hatashinda ila ubunge atapewa. Hii imezoeleka but sooner or later this corrupt practice will end.

Basi wamteue awe rais wa tanzania badala ya huyu jamaa...
 
Back
Top Bottom