pilipilimanga
Member
- Aug 10, 2012
- 5
- 0
Nimepenyezewa document hii (check attachment) kutoka jengo la ''MPINGO HOUSE'' na mfanyakazi mmoja aliyejiita ''MWENYE HURUMA'' kwamba kunawafanyakazi wenzao wanaofanya kazi WAKALA iliyopo wizarani kumwandikia barua Waziri wa sasa KAGASHEKI mara baada ya kuteuliwa lakini matatizo yao yanawekwa kapuni.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa huyo, Wafanyakazi hao wamekuwa na matatizo makubwa na mwajili wao kwa miaka mingi na wamekuwa wakitoa malalamiko kwa barua (zinazoweza kujaza kontena) lakini inaonekana wizarani wanaohusika na wafanyakazi hao wameweka ''SUPA GLUU'' masikioni.
Anadai zilishawahi kuwa kwenye tume mojawapo na alichokiona ni wakubwa wa wizarani KU-IGINOA na HUWEKWA KWENYE DUST BIN ripoti za tume.
MOJA YA MADAI YAO AMBAYO ALIYAONA KAMA MJUMBE WA TUME AMBAYO ILIKUWA NI KILIO CHA WAFANYA KAZI HAO NI KUTOKULIPWA MISHAHARA YA WAKALA NA KUPATA NYONGEZA YA MISHAHARA YA MWAKA NA KUPANDISHWA VYEO. Anadai, tokea aanze kufanya kazi hajawahi kukutana na case za ajabu kama hizo.
Namnukuu ''Wale wafanyakazi ukiwaona nyuso zao ni kama wagonjwa. Yaani they are frustrated. Ajabu Wizara taarifa wanazo juu ya matatizo ya huo Wakala lakini haichukui hatua. Hawawafanyii fair kwa maoni yangu''....mwisho wa kunukuu.
Kama mtu wa ''HURUMA'' alinipenyezea niiweke huku kwa 'GREAT THINKERS'' wamsaidie KAGASHEKI kushauri afanye nini.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa huyo, Wafanyakazi hao wamekuwa na matatizo makubwa na mwajili wao kwa miaka mingi na wamekuwa wakitoa malalamiko kwa barua (zinazoweza kujaza kontena) lakini inaonekana wizarani wanaohusika na wafanyakazi hao wameweka ''SUPA GLUU'' masikioni.
Anadai zilishawahi kuwa kwenye tume mojawapo na alichokiona ni wakubwa wa wizarani KU-IGINOA na HUWEKWA KWENYE DUST BIN ripoti za tume.
MOJA YA MADAI YAO AMBAYO ALIYAONA KAMA MJUMBE WA TUME AMBAYO ILIKUWA NI KILIO CHA WAFANYA KAZI HAO NI KUTOKULIPWA MISHAHARA YA WAKALA NA KUPATA NYONGEZA YA MISHAHARA YA MWAKA NA KUPANDISHWA VYEO. Anadai, tokea aanze kufanya kazi hajawahi kukutana na case za ajabu kama hizo.
Namnukuu ''Wale wafanyakazi ukiwaona nyuso zao ni kama wagonjwa. Yaani they are frustrated. Ajabu Wizara taarifa wanazo juu ya matatizo ya huo Wakala lakini haichukui hatua. Hawawafanyii fair kwa maoni yangu''....mwisho wa kunukuu.
Kama mtu wa ''HURUMA'' alinipenyezea niiweke huku kwa 'GREAT THINKERS'' wamsaidie KAGASHEKI kushauri afanye nini.