kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,057
Ama kweli disko la Lumumba limeingia mmasaai tena Laigwanani
Ccm tunawapeleka makumbusho ya taifa hapo oktober,ibaki inasomwa kwenye historia shule za msingi tu
Nilichofanya mie ni kutolea mfano wa mabadiliko ya kauli katika siasa. Lakini kumbuka kwamba mpaka sasa hakuna kauli rasmi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo iliyotolewa officially kuhusu Lowasa, hayo mengi yasemwayo yanatoka kwa watu Individually. Tungesubiri kauli ya chama ndio tuwahukumu.Gaddafi alikuwa anasaidia Uganda those kind of interest change lakini principles do not change easily. Uwezi kusema mtu mwizi afai, hila kwa sababu anakuletea mavuno basi ubadili msimamo wako kuhusu mwizi huyu.
Kuna tofauti kubwa sana ya uhasama wa mengi na rostam ambao umegubikwa na personal interests ambazo zinaweza badilika anytime si ajabu wakawa marafiki anytime depending on the mutual situation kwa maslahi yao.
Alikadhalika kuna tofauti kubwa sana ya principles za kanisa au msikiti kupinga sadaka ya hela ya wauza unga ata kama zingesaidia kwa sababu ya chanzo chenyewe. Sasa wewe umewaaminisha watu kwamba huyu mtu hafai kwa maendeleo yenu, anaona watu wengine wanathamani kushinda wengine, amechukua kingi na kuwafanya wengi wapate tabu kwa mdomo wako, leo tena hizo principles zimebadilika bila ya kumsafisha huyo mtu kwanza.
Bila ya CDM kutuambia Lowassa ni msafi kama wanaamini hivyo wanakosa moral authority ya kile wanachokisema.
Hata tusipochukua, lakini kuungana na List Of Shame? hapana unafiki huo sina.Kazaneni huko ACT mtachukua tu nchi..
Ama kweli disko la Lumumba limeingia mmasaai tena Laigwanani
Ccm wakanusha kupitia star tv saa mbili wadai ni sita tu na watarudishwa over
Hakuna madiwani kwa sasa. Mabaraza yalishavunjwa. Labda watia nia
Hata tusipochukua, lakini kuungana na List Of Shame? hapana unafiki huo sina.
nchi hii inamikoa zaidi ya 30 na maeneo mengi sana wanadhibiti ccm sasa munduli moja kitu gani wahame tuuuuuuu!
Unless wewe si mwanasiasa...kwa wanasiasa nilichojifunza usema wanayoyakana au waliyoyakana!Hata tusipochukua, lakini kuungana na List Of Shame? hapana unafiki huo sina.
Mkuu ujaona hiyo video https://m.youtube.com/watch?v=2Pqi7EKVEPM ya lema hapo juu akisema anamsubiri Lowassa aende CDM jamaa awana maadili kabisa na awasimami lolote na if you dont stand for something you will fall for anything hii ni aibu kwa CDM kuwapokea wafuasi wa Lowassa principally against their usual vocal ideology ambayo ilikuwa ya uongo kumbe kuhusu watu waliokuwa wakisema wana mpango wakuwafungulia mashtaka.Nilichofanya mie ni kutolea mfano wa mabadiliko ya kauli katika siasa. Lakini kumbuka kwamba mpaka sasa hakuna kauli rasmi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo iliyotolewa officially kuhusu Lowasa, hayo mengi yasemwayo yanatoka kwa watu Individually. Tungesubiri kauli ya chama ndio tuwahukumu.