Madiwani si walisha maliza muda wao?
Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA
Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei.
Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA
Hakika sasa hakuna ubishi tena kuwa mnara wa babeli unazidi kuporomoka kwa kasi ya kutisha!Madiwani wote wa CCM toka Halmashauri ya Meru Mkoani Arusha wote wamehamia CHADEMA
Mbuyu unapondeka kwakakasi sana CCM kwishenei kwishenei.
Muda huu Madiwani hao wamehamia CHADEMA
Na umesahau kusema kuwa 'aliwakuna' wasanii hao alipowaambia kuwa ingetokea tu bahati mbaya angeukosa Upresidaa, basi angekuwa mwimbaji mzuri sana wa bongo flava na hasa hasa ange-specialize kufanya 'kolabo' na Diamond na Ali Kiba.Mwenyekiti wa chama yuko bize kucheza miziki na wasanii wenzie
Wakati huu nchi haina madiwani mabaraza yameshavunjwa. wapo watia nia
Vile vile alishawaambia hao maccm kuwa kutokana na 'strategies' zao za kutaka kuzuia mafuriko hayo kwa viganja vyao vya mikono, watakesha usiku na mchana lakini hawatakuwa na ubavu wa kuyazuia mafuriko hayo.Haya mafuriko ya bwana mamvi nimeyavulia kofia.
Bado hapo mzee hajatoka ndan ..cjii akitoka itakuwaje..???
Kumbe ndiyo maana TZ kwa awamu yake yote ya miaka 10 nchi yetu haikupiga hatua yoyote ya maendeleo?Anakuambia kamisi dance anataman mda uishe akacheze rumba.
mbona wote ni kazikazini tu...? I have a doubt...!!!