Mwl wa akiba
Member
- Nov 12, 2020
- 66
- 66
MADIWANI WAPYA MSIKUBALI UPUMBAVU UWAZOEE KATIKA MABARAZA YENU.
Naandika Mwl wa akiba
📌Madiwani wapya ambao wengi wameapa katika kipindi hiki lazima watambue kuwa kuna vikundi vya watu wachache katika halamshauri zetu ambao wanatabia ya kuhujumu fedha za umma kiujanja ujanja tu.
📌 Madiwani wetu wasione aibu kuomba ushauri wa kitaalamu katika maeneo ambayo hawana ubobezi kuliko kupitisha mambo ambayo hayaleti tija katika jamii kwa upambavu tu wakutokuuliza ili wapate ufafanuzi mzuri.
📌Madiwani lazima watambue hivyo vikundi vya watu wachache wasioitakia mema wananchi huwa wanatumia lugha za kitaalamu katika kuiba na kuwadanya madiwani wetu hivyo kama madiwani wasipokuwa makini basi lazima wananchi wataendelea kuibiwa tu.
📌Madiwani tumieni wataalumu wetu bila kujali tofauti za itikadi zetu za kisiasa katika kutafuta ufafanuzi na uchambuaji wa mambo ili kukabiliana na vikundi vichache vyenye roho za kishetani katika halmashauri zetu .
📌 Nimpongeze Mh. Msukuma na madiwani kwa kusimama kidete katika kuhakikisha fedha za wananchi wa halmashauri ya Geita zinatumika kiuweledi .👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
NB: ZAMA ZIMEBADILIKA SIO KILA HOMA NI MALARIA
Ndugu yenu.
Mwl, wa Akiba
Naandika Mwl wa akiba
📌Madiwani wapya ambao wengi wameapa katika kipindi hiki lazima watambue kuwa kuna vikundi vya watu wachache katika halamshauri zetu ambao wanatabia ya kuhujumu fedha za umma kiujanja ujanja tu.
📌 Madiwani wetu wasione aibu kuomba ushauri wa kitaalamu katika maeneo ambayo hawana ubobezi kuliko kupitisha mambo ambayo hayaleti tija katika jamii kwa upambavu tu wakutokuuliza ili wapate ufafanuzi mzuri.
📌Madiwani lazima watambue hivyo vikundi vya watu wachache wasioitakia mema wananchi huwa wanatumia lugha za kitaalamu katika kuiba na kuwadanya madiwani wetu hivyo kama madiwani wasipokuwa makini basi lazima wananchi wataendelea kuibiwa tu.
📌Madiwani tumieni wataalumu wetu bila kujali tofauti za itikadi zetu za kisiasa katika kutafuta ufafanuzi na uchambuaji wa mambo ili kukabiliana na vikundi vichache vyenye roho za kishetani katika halmashauri zetu .
📌 Nimpongeze Mh. Msukuma na madiwani kwa kusimama kidete katika kuhakikisha fedha za wananchi wa halmashauri ya Geita zinatumika kiuweledi .👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
NB: ZAMA ZIMEBADILIKA SIO KILA HOMA NI MALARIA
Ndugu yenu.
Mwl, wa Akiba