Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
Wana- JF mtakumbuka mama yule aliyekuwa Msimamizi wa uchaguzi jimbo la Sumbawanga Mjini, alihusika sana kupora haki ya watu wa jimbo la Sumbawanga mjini kuwakilishwa na mtu waliyemtaka Mwalimu Yamsebo. Mama Siliwa, alidokoa Kura za Mzee Yamsebo wa CHADEMA na kumjazia Aeshi wa CCM.
Mara tu baada ya kutangaza matokeo ya dhuruma mama Siliwa ghafla alihamishwa Sumbawanga, kwenda kuwa mkurugenzi wa halimashauri ya Ileje.
Lakini juzi laana ya watu wa Sumbawanga ilimfuata hukohuko Ileje ambapo kwenye kikao cha madiwani waliokuwa wakimsurubu kwa udokozi wa fedha za umma wa Ileje, alisikika akitamka aonewe huruma mara tisa hata hivyo, madiwani waligoma na kumpiga kalam.:A S-baby::A S-baby:
Mara tu baada ya kutangaza matokeo ya dhuruma mama Siliwa ghafla alihamishwa Sumbawanga, kwenda kuwa mkurugenzi wa halimashauri ya Ileje.
Lakini juzi laana ya watu wa Sumbawanga ilimfuata hukohuko Ileje ambapo kwenye kikao cha madiwani waliokuwa wakimsurubu kwa udokozi wa fedha za umma wa Ileje, alisikika akitamka aonewe huruma mara tisa hata hivyo, madiwani waligoma na kumpiga kalam.:A S-baby::A S-baby: