Lamchina
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 240
- 120
Hello JF Doctors,
Mwenzenu nina tatizo la kupiga chafya kwa miaka isiyopungua mitano, tatizo huongezeka ninapokunywa maji mengi basi usiku hakuna kulala ni makamasi na chafya ndo mpango mzima.<p>/
Nimesikia tetesi zisizo za ukweli kuwa kupiga chafya kunachangia kupunguza KINGA/Immunity ya mwili!. Naombeni ushauri wenu pamoja na tiba sahihi
Stay Blessed for your incredible advise!<p>/:hatari:
Mwenzenu nina tatizo la kupiga chafya kwa miaka isiyopungua mitano, tatizo huongezeka ninapokunywa maji mengi basi usiku hakuna kulala ni makamasi na chafya ndo mpango mzima.<p>/
Nimesikia tetesi zisizo za ukweli kuwa kupiga chafya kunachangia kupunguza KINGA/Immunity ya mwili!. Naombeni ushauri wenu pamoja na tiba sahihi
Stay Blessed for your incredible advise!<p>/:hatari: