Madhara ya kunywa maji ya moto

Hawa madaktari wa mitaani bana, anyway sijui sana, mie nakunywa maji ya moto kama wewe ulivyojieleza hapo juu, tena sometimes nachanganya na asali lakini nadhani unanijua mamamngu ndio hata kupungua sipungui na nimeshazoea kiasi kwamba siku hizi siwezi kunywa maji ya baridi

wadau asante sana, waswas wangu ni kwamba kuna mama m1 ananambia kuwa napungua kwa kasi.kwamba hayo maji yanayeyusha mafuta so nakosa mafuta mwilini. je ni kweli kupungua uzito/mwili kwa kasi ni shaur ya majimoto?
 
Hawa madaktari wa mitaani bana, anyway sijui sana, mie nakunywa maji ya moto kama wewe ulivyojieleza hapo juu, tena sometimes nachanganya na asali lakini nadhani unanijua mamamngu ndio hata kupungua sipungui na nimeshazoea kiasi kwamba siku hizi siwezi kunywa maji ya baridi



Habari.?
Bado unakunywa MAJI ya moto na asali.? na unaendeleaje na unene wako.?
 
Maji ya moto ni vizuri kuyanywa lakini inadaiwa kuyanywa asubuhi kabla ya kutia chochote kinywani kuna faida kubwa kwani husafisha mwili na kuyeyusha mafuta ndani ya figo ambayo baadaye yanaweza kuwa vijiwe na kuleta athari kubwa kwenye figo.

Helo wanajamvi wenzangu!

Naomba kusaidiwa, ni kwa muda mrefu nimekuwa nikinywa maji ya moto asubuhi saa 2 hunywa glass ya maji moto ila sio ya kuunguza ni ya moto yanayoweza kunyweka yani ni kama umepooza chai alafu ukanywa kwa mara moja.

There after huwa naweka maji moto kabisa kwenye glass na yakipoa kidogo huwa nakunywa kidogo kidogo na huwa naongeza kila yanapoisha asubuhi mpaka jioni.

Je naweza pata madhara yoyote kwasababu kuna mtu kanambia kuwa yanayeyusha mafuta mwilini ila mimi sio mnene na wala sihitaji kupunguza uzito ni mazoea.
 
Maji ya moto ni vizuri kuyanywa lakini inadaiwa kuyanywa asubuhi kabla ya kutia chochote kinywani kuna faida kubwa kwani husafisha mwili na kuyeyusha mafuta ndani ya figo ambayo baadaye yanaweza kuwa vijiwe na kuleta athari kubwa kwenye figo.
Yafaa yawekwe na ndimu ndio dawa ya kuondoa mawe kwenye figo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Vyakula vya kuepukwa ili kupunguza uwezekano wa kuwa na "vijiwe" kwenye figo ni mafuta ya kupikia ya mgando kama vile samli hii si nzuri hata kwa moyo pia, nyama zenye mafuta mafuta (nyama ya nundu) maziwa, mafigo ambayo nayo huwa na mafuta mengi na siagi pia.

Yafaa yawekwe na ndimu ndio dawa ya kuondoa mawe kwenye figo.
 
Kunyweni maji ya baridi, acheni kudanganyana. Hakuna kitu kinaweza kuingia tumboni chenye temperature zaidi ya optimal temperature ambayo ni 37Centigrade. Tumboni kuna vitu vingi kama vile vimengenyo ambavyo haviwezi ku survive kwenye temperature zaidi ya hiyo tajwa hapo juu. Hivyo basi, kutoka mdomoni mpaka tumboni kuna mrija unaitwa ausophagus kazi yake kubwa,pamoja na mambo mengine, ni kushusha hiyo temperature mpaka ifike 37C
 
Ukiamka saa kumi au tisa ukayanywa halafu ukarudi kulala tena!!mkuyenge huwa unasimama kwa hasira unapiga kazi hadi mama watoto analia kama mtoto!!Bao lake zito kama uji!!!Hebu jaribu hii utafurahi mwenyewe hadi utanirushia vocha ya buku!!!
 
Back
Top Bottom