ldd
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 790
- 128
Aslamu aleko jf, ivi kwann mademu ukikutana nae wakati yupo kwenye tight environment na ukampa msaada na yeye haamin km umemsaidia kibinadamu anataka abaki au ubaki na 4n namba 4 further communication! mfano jana nmekuta kundi la wa2 tofauti kituo cha daladala nkabeba hapo watu 6 kwa lengo lakuwasogeza, but mwshon nkabaki na du mmoja, akafika kituo anachoshuka, yaani kama anataka kuniachia kitu fulani au km anasita kushuka!???