Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,232
- 8,781
Rudia kusoma....kwa ufafanuzi .
Yesu alikuwa anawaelezea wafuasi wake kuhusu wanaume wanaokosa nguvu za kiume (chanzo)...
Akawaeleza kuwa "Wengine huzaliwa na mapungufu hayo na wengine huyapata kwenye mihangaiko ya kila siku"....
Kumbuka mapungufu ya nguvu za kiume ni tofauti na ushoga.....Rejea Biblia ikufahamishe
Biblia gani hii ?