BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,301
Exactly, ila ngoja tuone plan yao kama inaweza kuzaa matunda.Inaonekana hiyo video hujaiona yani ni wanajeshi tena wako front line wakiwa kwenye mahandaki wanakata mikate na kufanya Qur'an ndio meza ya kukatia mikate yao
Hao jamaa kwenye hii vita kuna udini wanajaribu kuuingiza.