Madaktari hawaokoi maisha bali wanatibia tu

KakaNanii

JF-Expert Member
Sep 28, 2008
325
52


Kuna hii kauli ya watu wanosema ya kwamba eti madaktari waongezewe mishahara mikubwa kwa kuwa wao eti wanaokoa maisha ya watu !

Hivi ingekuwa madaktari wanaokoa maisha ya watu mbona, aliyekuwa rais mstaafu Julius K. Nyerere amekufa hivi hivi huku kazungukwa na jopo la madaktari bingwa tena wa Uingereza ambao mishahara yao ni mikubwa, vitendea kazi vya kutosha. Si wangeokoa maisha ya Nyerere basi , mbona amekufa ?
 
[Ndugu nashindwa kukuelewa, sijuhi inatokana na ufinyu wa elimu yako.... pia labda unatumia kiungo kingine mbdala ya ubongo kufikiri



QUOTE=MWANAID PAWA;3415489]

Kuna hii kauli ya watu wanosema ya kwamba eti madaktari waongezewe mishahara mikubwa kwa kuwa wao eti wanaokoa maisha ya watu !

Hivi ingekuwa madaktari wanaokoa maisha ya watu mbona, aliyekuwa rais mstaafu Julius K. Nyerere amekufa hivi hivi huku kazungukwa na jopo la madaktari bingwa tena wa Uingereza ambao mishahara yao ni mikubwa, vitendea kazi vya kutosha. Si wangeokoa maisha ya Nyerere basi , mbona amekufa ?
[/QUOTE]
 


Kuna hii kauli ya watu wanosema ya kwamba eti madaktari waongezewe mishahara mikubwa kwa kuwa wao eti wanaokoa maisha ya watu !

Hivi ingekuwa madaktari wanaokoa maisha ya watu mbona, aliyekuwa rais mstaafu Julius K. Nyerere amekufa hivi hivi huku kazungukwa na jopo la madaktari bingwa tena wa Uingereza ambao mishahara yao ni mikubwa, vitendea kazi vya kutosha. Si wangeokoa maisha ya Nyerere basi , mbona amekufa ?
Jipe muda kutafakari tena kauli yako.
 
mlet mada atakuw wa chama cha chechemea maana hawa jamaa wamekabidhi brain zao kwa mwenyekiti wa chama!
 
unahitaji msaada wa daktari kwa hali yako hiyo maana una matatizo, japo unawakandia njoo tukupe tiba sahihi
 
Lengo la hii mada haileweki!!! Unataka kusema nini hasa??


Kuna hii kauli ya watu wanosema ya kwamba eti madaktari waongezewe mishahara mikubwa kwa kuwa wao eti wanaokoa maisha ya watu !

Hivi ingekuwa madaktari wanaokoa maisha ya watu mbona, aliyekuwa rais mstaafu Julius K. Nyerere amekufa hivi hivi huku kazungukwa na jopo la madaktari bingwa tena wa Uingereza ambao mishahara yao ni mikubwa, vitendea kazi vya kutosha. Si wangeokoa maisha ya Nyerere basi , mbona amekufa ?
 


Kuna hii kauli ya watu wanosema ya kwamba eti madaktari waongezewe mishahara mikubwa kwa kuwa wao eti wanaokoa maisha ya watu !

Hivi ingekuwa madaktari wanaokoa maisha ya watu mbona, aliyekuwa rais mstaafu Julius K. Nyerere amekufa hivi hivi huku kazungukwa na jopo la madaktari bingwa tena wa Uingereza ambao mishahara yao ni mikubwa, vitendea kazi vya kutosha. Si wangeokoa maisha ya Nyerere basi , mbona amekufa ?
Alichokieleza mwanaidi yupo sawa. daktari hawaokoi maisha bali wanatibu tu. katoa mfano wa jkn, na mie naongeza hivi ulaya kwenye mabingwa wa tiba na mazingira mazuri bado bin adamu anaaga dunia. mganga hajigangi tafakari utapata jibu. tatizo mnadandia mada bila kutafakari mwanzilishi anamaanisha nini. kwangu raktari is nothing kwa kuwa siumwi namtaka mwalimu kwa kuwa ninasoma sasa. kesho nikinunua gari kwangu mlinzi mwenye mshare atakuwa na umuhimu kwangu. nikioa na kupata mtoto, house girl atakuwa wa maana. KILI MTU ANA UMUHIMU NA UHITAJI KULINGANA NA MAZINGIRA.
 
Back
Top Bottom