Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Hii ni kwa msaada tu wawale wanaokimbilia wanaume white na kuhisi ni more handsome kuliko black..jamani sikuhizi wanaume wanajichubua muwe makini sana
huku mikochen kuna visaloon vinawawasha usoni utasema naniino
sasa usikimbilie kuolewa kisa umemwona mwanaume mweupe weee uliza ametoka kwa mungu ama lah..mtapata shida bora ukimbilie black wako alietoka kwa God kuliko kulia na wengine ili mradi umempenda white...oaneni umuone live kama ni ngozi yake ama katengenezwa usishangae na wewe ukawa unamsindikiza kujichubua saloon
jamani embu tushukuru mungu kwa ngozi zetu unajua chubua ili iwe nini???wapendwa??
kuwen na shukran mlichopata....nawatakia Ndoa njema kwa wasiioolewa na wasiiooa
huku mikochen kuna visaloon vinawawasha usoni utasema naniino
sasa usikimbilie kuolewa kisa umemwona mwanaume mweupe weee uliza ametoka kwa mungu ama lah..mtapata shida bora ukimbilie black wako alietoka kwa God kuliko kulia na wengine ili mradi umempenda white...oaneni umuone live kama ni ngozi yake ama katengenezwa usishangae na wewe ukawa unamsindikiza kujichubua saloon
jamani embu tushukuru mungu kwa ngozi zetu unajua chubua ili iwe nini???wapendwa??
kuwen na shukran mlichopata....nawatakia Ndoa njema kwa wasiioolewa na wasiiooa