Macron aitaka Israel iache kuuwa vichanga.Raisi wa Iran ajisemea mwenyewe vitendo vinahitajika sio maneno matupu tena.

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,204
10,952
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno tena.
 
Kama magaidi wanajificha humo halafu raia hawataki kuondoka? Acha wapigwe
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
 
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno tena.
Mbona. Hapeleki jeshi Gaza? Safari hii HAMAS inafutwa kwenye Ramani ya Dunia
 
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno tena.

Jana niliona kombora limelipua msikiti ukageuka kifusi,hakika wayahudi wanajua nini mana ya kudeal na magaidi.
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.

Kwenye vilio vingi ndipo kuliko shindwa vita ,nikumbushe wakina nani wanaomba size fire kwa angalau siku 3?
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
Hivi kwanini Hamasi walienda kuvamia Israel na kuondoka haraka si wangebaki huko huko wazidi kuichakaza Israel na kuiteka iwe yao kama ambavyo huwa wanaidai hiyo ni ardhi yao.
 
Macaroni analetaa mambo ya kisiasa kwenye mambo serious, kale kamtu hakaeleweki kabisa, kana yumba sana! Anadhani kwa kusema hivyo kutamchotea uungwaji mkono na waislam wa paris!
 
Mkuu sio mbaya fanyia marekebisho.
20231111_005458.jpg
 
Meneja wa Alshifa hospital jana alisema ni zamu ya vita vya kupiga hospitali.Na kweli vita vya Israel kwa hospitali vimeendelea na kuonesha ukatili ambao wote walioona wametishika.
Madaktari wa hospitali hizo wameonekana wakikimbia na vitoto njiti kwenye mashine za kuokolea maisha huku wengine wakiwa wametapakaa kwenye sakafu baada ya kudondoshewa mabomu.Wakaongeza kusema wamefungiwa ndani ya hospitali hizo na kila aliyejaribu kutoka aliuliwa na askari waliokuwa malango makuu ya kuingilia hospitali hizo.
Raisi Macron wa Ufaransa ni mmoja ya waliosikitishwa na unyama huo hivyo kutoa tamko kali la kuitaka Israel iache mara moja kuuwa watoto wachanga kwa kisingizio chochote klle
Kwa upande wake raisi Alraisi wa Iran amesema sasa ni muda wa vitendo dhidi ya ukatili wa Israel na si wakati wa maneno tena.

Niseme tu wazi, siku nyingine raia wa Gaza wasikubali vikundi vya mapigano kuweka base zao kwenye mahospitali na shule. Maana siku wakiingia vitani kipigo kinakuwa kikubwa Sana, maana raia wengi wanakufa.
 
Ugaidi utokomezwe bila huruma. Uzuri Israeli hasikilizi kima yoyote yule anapo deal na ugaidi
 
Waambie Macron na Alraisi wa Iran kama hawatakuona punguani.
Kama IDF wameshindwa vita watulie tu sio kuuwa watoto mpaka kwenye incubator.Hamas gani hao kwenye vifaa hivyo.Hamas wanaweza kukaaa kwenye mahandaki lakini sio kwenye mashine za aina hiyo.
IDF hawezi kuua vichanga ili kuwaangamiza Hamas, Hamas siyo vichanga.
Acheni kujificha kwa raia tokeni mpambane IDF wametoka wako hapo gaza kwanini hamas hawatoki?
 
Back
Top Bottom