VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Baada ya kufanya kazi kwa miaka mingi hapa US, niliweza ku-save na nimepata business partner/investor ambapo seriously tumeamua kuwekeza katika fast food business hapo Dar na Arusha. Tumeshakamilisha taratibu zote za kufungua franchise ya MacDonald including attending mandatory MacDonald (burger) university course, na imebaki kuja hapo Dar kufanya utafiti wa strategic sites then hawa jamaa wa corporate office watakuja kuikagua na kufinalize the deal.
Je mna maoni gani kuhusu ufunguzi wa MacDonald hapo mjini? Italipa?
Je mna maoni gani kuhusu ufunguzi wa MacDonald hapo mjini? Italipa?