Habari zilizotufikia ni kwamba mfnayakazi mmoja wa swissport kampuni ya mizigo airport amekunywa sumu baada ya kuchukizwa na mabaya aliofanyiwa na mabosi wake...akiongea huku akishika barua yenye kkuonyesha kilichomuua mleta habari alisema marehemu aitwae MZEE MWAKALINGA amekuwa mstari wa mbele katika kufichua uovu wote uliokuwa ukifanywa na vijana wa swissport wakihakikishiwa kupona kama itatokea kesi yoyote...miaka ya nyuma bosi mmoja alidiriki kumsimamisha kazi kwa zaidi ya miaka miwili mpaka alipomrudisha...mabosi hawa wanaitwa mr semkanga..SR &JR
Hawa wameshika ukuu wa cargo kwa muda mwingi kutokana na kula na wakuu wao kwa kuwapatia mali ya wizi wanayoiba kwenye NDEGE ZA EMIIRATES ,KLM NA NYINGINEZO.....................SASA KWA MTAJI HUU
HUYU BWANA AKANYANYASIKA SANA........KIBAYA ZAIDI HAWA MABOSI WANASADIDIKA KUUMWA ....KAUGONJWA CHETU...SASA WALICHOMFANYIA NI KUANZA KUTEMBEA NA MKEWE NA KAMA MNAVYOJUA WANWAKE WENGINE SITAKI NTAKE...JAMAA ALIPOJUA HILO AKAONA KULIKO KUFA KIFO CHA AIBU NGOJA ATANGULIE...NDUGU ZANGUNI SWISSPORT....KUWE MAKINI NA HABARI ZILIZOFIKA HIVI PUNDE HUYU BWANA MMOJA SEMKANGA WALISHAMTOA MOJA YA WEBSITE KWA KASHFA YA KUMLAZIMISHA MKE WA MTU KUFANYA MAPENZI AMPE POSN PALE CARGO....SASA KWA MTAJI HUU NDUGU YETU TEMU SI ANGEKUWA AHIACE 3(TAU )JAMANI???HAYA MADADA TUNAWACHIA WENYEWE
Hawa wameshika ukuu wa cargo kwa muda mwingi kutokana na kula na wakuu wao kwa kuwapatia mali ya wizi wanayoiba kwenye NDEGE ZA EMIIRATES ,KLM NA NYINGINEZO.....................SASA KWA MTAJI HUU
HUYU BWANA AKANYANYASIKA SANA........KIBAYA ZAIDI HAWA MABOSI WANASADIDIKA KUUMWA ....KAUGONJWA CHETU...SASA WALICHOMFANYIA NI KUANZA KUTEMBEA NA MKEWE NA KAMA MNAVYOJUA WANWAKE WENGINE SITAKI NTAKE...JAMAA ALIPOJUA HILO AKAONA KULIKO KUFA KIFO CHA AIBU NGOJA ATANGULIE...NDUGU ZANGUNI SWISSPORT....KUWE MAKINI NA HABARI ZILIZOFIKA HIVI PUNDE HUYU BWANA MMOJA SEMKANGA WALISHAMTOA MOJA YA WEBSITE KWA KASHFA YA KUMLAZIMISHA MKE WA MTU KUFANYA MAPENZI AMPE POSN PALE CARGO....SASA KWA MTAJI HUU NDUGU YETU TEMU SI ANGEKUWA AHIACE 3(TAU )JAMANI???HAYA MADADA TUNAWACHIA WENYEWE