una akiri kweli humo tumboni wewe unaeshabikia matukio haya
Mh!hari ni mbaya sana,inaonekana siku hizi polisi hawaamini tena,watu wameamua kuwapa kibano tu!
Dumila, Msimbati, Kibiti, Kinondoni...
Wiki hii tu.
Nahesabu tu. Si bure.
Nchi ya amani no more.
una akiri kweli humo tumboni wewe unaeshabikia matukio haya
Inaonekana waliandaa bajeti kubwa sana ya kununulia risasi na mabomu mwaka huu. Hawaishiwi?
mbona mada yako nyingine mzee,, inaelekea machafuko unayatamani sana eeh?
Sijui twaelekea wapi