Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Hii imetolewa muda si mrefu na wizara ya Mmabo ya Nje ya Uingereza ikiwaonya raia wake kuhusu kutembelea Tanzania
ambako wanasema hivi:
There is a general threat from terrorism. Attacks could be indiscriminate, including in places frequented by expatriates and foreign travellers.
zaidi soma hapa:
Tanzania travel advice
Ni kawaida hawa jamaa kuwaonya raia wao lakini kama mmesoma hapo juu message yao ya leo iko blunt na clear na si ya kupuuzia hata kidogo.
Maswali:
1. Serikali ya UK haiwezi kutoa onyo bila ya kuwa na uhakika na onyo hilo na mbaya zaidi wanapotimia neno TERRORISM inamaana kuwa kuna asilimia kubwa kuwa tunaweza kupigwa mabomu. Kwa nini vyombo vya usalama wetu havituarifu sisi waTanzania chochote?
2. Waziri wa Mambo ya ndani kwa nini hatoi tamko lolote?
3. Waziri mkuu naye mbona kimya?
4. Wizara ya Ulinzi kwa nini nayo iko kimya?
5. Kmati ya bunge ya ulinzi na usalama ina mwenye kitu mbona naye kakaa kimya?
6. Je likitokea la kutokea je nani atawajibishwa?
7. Wizara ya utaliina waziri wao nao mbona hawajatoa tamko lolote?
8. Je ni namba zipi tupige ili kujua tuepuke maeneo yepi?
9. Je huduma za emergency zetu ziko kikamilifu kukumbana na lolote litakalo tokea?
10. Je ni nani anapngoza hiyo timu ya Civil Contingency Committee yetu? kwa nini hawa watu hawataki kujulikana ua ndio kukwepa majukumu?
11. Je rais anayo habari kuhusu hii threat iliyotolewa na hawa Waingereza? if so mbona msemaji wa Ikulu yuko kimya?
Last but not least mbona katika website ya MoFA, mambo ya ndani, iKULU , WAZIRI MKUU, na ULINZI kwa nini hakuna tahadhari yoyote kuhusu hii issue.
ambako wanasema hivi:
There is a general threat from terrorism. Attacks could be indiscriminate, including in places frequented by expatriates and foreign travellers.
zaidi soma hapa:
Tanzania travel advice
Ni kawaida hawa jamaa kuwaonya raia wao lakini kama mmesoma hapo juu message yao ya leo iko blunt na clear na si ya kupuuzia hata kidogo.
Maswali:
1. Serikali ya UK haiwezi kutoa onyo bila ya kuwa na uhakika na onyo hilo na mbaya zaidi wanapotimia neno TERRORISM inamaana kuwa kuna asilimia kubwa kuwa tunaweza kupigwa mabomu. Kwa nini vyombo vya usalama wetu havituarifu sisi waTanzania chochote?
2. Waziri wa Mambo ya ndani kwa nini hatoi tamko lolote?
3. Waziri mkuu naye mbona kimya?
4. Wizara ya Ulinzi kwa nini nayo iko kimya?
5. Kmati ya bunge ya ulinzi na usalama ina mwenye kitu mbona naye kakaa kimya?
6. Je likitokea la kutokea je nani atawajibishwa?
7. Wizara ya utaliina waziri wao nao mbona hawajatoa tamko lolote?
8. Je ni namba zipi tupige ili kujua tuepuke maeneo yepi?
9. Je huduma za emergency zetu ziko kikamilifu kukumbana na lolote litakalo tokea?
10. Je ni nani anapngoza hiyo timu ya Civil Contingency Committee yetu? kwa nini hawa watu hawataki kujulikana ua ndio kukwepa majukumu?
11. Je rais anayo habari kuhusu hii threat iliyotolewa na hawa Waingereza? if so mbona msemaji wa Ikulu yuko kimya?
Last but not least mbona katika website ya MoFA, mambo ya ndani, iKULU , WAZIRI MKUU, na ULINZI kwa nini hakuna tahadhari yoyote kuhusu hii issue.