halafu wakilala usiku wakaota ndoto kwamba wameingiliwa na mwanaume wanakimbilia kwa mchungaji akawaombee kwamba wameingiliwa na jini mahaba wana pepo, kumbe ni mahitaji tu ya kimwili unakuta binti ana miaka 32 hajapigwa mashine ila hisia za mwili zinahitaji, hivyo akiota ndoto kwamba anagegedwa anasingizia eti jini mahaba kumbe wapi ni genye tu anahititaji mshededeee...
Kuna makanisa ya kiroho bhana yamedumaza akili za mabinti,wamewaingiza kiroho zaidi,Mme halali mpaka waonyeshewe na Mungu,kama hajakuona kwenye maombi hakukubali,warembo wazuri wanazeeka kwenye makanisa ya kiroho
Wnakuja kushtuka umri umeenda hatimaye wanaamua kupata mimba humo humo baada ya maombi kutojibiwa,au kuolewa kinyemela bila kufuata misingi ya kanisa.
Swala la ndoa haihitaji kuomba Mungu akuonyeshee wakati una macho ya kuona.
Amkeni mtazeeka kwenye ibada.
khekhekhe......umewachokoza aisee
utajibiwa humu mpaka ukome...kwajinsi walivyokua na imani kubwa kwenye hiyo makitu..subiri uone!
Tahadhari tu, wasije kukuua kwa majibu yao ya kuandika, maana huko Daslam tunasikia ndugu zetu wazaramu wanaweza kumkamata mwizi kisha wakamsuta na kumsema hadi akafa bila kumpiga hata kibao, ulizia zanziba jamaa wanakubishia hadi meli inazama.
nawapongeza hao wadada waliokukataa maana wewe sio mume mwema......
mke/mume mwema hutoka kwa Bwana msidanganyike wadogo zangu
Nikumbushe mchungaji gani aliiongea hii!
Mungu ana nafasi yake ila kuna mengine yanahitaji akili za kibinadamu kuyapambanua
Kuna usemi unaosema "Mungu na mbio" maana yake inabidi uweke juhudi yako uku ukimwomba Mwenyezi Mungu. Mfano ukifukuzwa na simba unakimbia huku unaomba Mungu akusaidie. Ukisimama utaliwa na simba hata kama unamwomba Mungu.
......Katika nchi za Africa watu wengi hawajui hasa wanachoamini na hawafanyi kile ambacho dini yao inataka wafanye .... in short they are just brain-washed . ndo maana wachungaji fake wataendelea kupiga hela... na tatizo mtu ambaye yupo brain-washed huwa inachukua muda sana kumfunua ufahamuKuna makanisa ya kiroho bhana yamedumaza akili za mabinti,wamewaingiza kiroho zaidi,Mme halali mpaka waonyeshewe na Mungu,kama hajakuona kwenye maombi hakukubali,warembo wazuri wanazeeka kwenye makanisa ya kiroho
Wnakuja kushtuka umri umeenda hatimaye wanaamua kupata mimba humo humo baada ya maombi kutojibiwa,au kuolewa kinyemela bila kufuata misingi ya kanisa.
Swala la ndoa haihitaji kuomba Mungu akuonyeshee wakati una macho ya kuona.
Amkeni mtazeeka kwenye ibada.
......Katika nchi za Africa watu wengi hawajui hasa wanachoamini na hawafanyi kile ambacho dini yao inataka wafanye .... in short they are just brain-washed . ndo maana wachungaji fake wataendelea kupiga hela... na tatizo mtu ambaye yupo brain-washed huwa inachukua muda sana kumfunua ufahamu